Jiunge nami kusema hapana kwa udhalilishaji na ubaguzi anaoufanya mmliki wa clock tower café Iringa

Nioneshe niliposema Id mpya.... Ukinionesha naomba ban ya mwaka mzima. Nyie vilaza mliruhusiwa vipi kujiunga humu? Ndo mnakuja kulia lia kwa mambo ya kipuuzi unadai wewe wakili. Huelewi hata tofaut ya public na choo cha sehemu ya kazi ya mtu.

Kwa hiyo unataka uwe unaenda tu kujisaidia sababu unamfaham? Halafu unaambiwa unadai ubaguzi. Kuna ubaguzi gani hapo?nenda kafungue kesi basi.

Akili yako inakuaminisha kuwa hii ni ID mpya!?
 
ULIDHANI UTATANGAZA BIASHARA ILA UMEHARIBU SANA KWA BANDIKO LAKO HILI BWANA ZUBERI. UMEONESHA UKILAZA WA HALI YA JUU SANA. NA HAUJAPATA WA KUKUUNGA MKONO KATIKA MOTION YAKO YA KIPUUZI.
 
Nimesoma para ya juu na ku..scroll para ya chini nikamaliza.

Watanzania raha sana, ndiyo tulivyoachiwa upendo na babu yetu, ila huyo jamaa soon atakukuta mahakamani kukuomba msaada.
 
Hahahaaaa! Mkuu punguza munkari utakata shanga! Viapo vya ban won't help you!

Nilieleza ninavyomfahamu huyu mzee, sikueleza whether he was right or wrong!
 
Umetoa muhtasari mzuri.Gazeti la mtoa hoja lilikuwa ni refu sana
 
Mfungulie mashtakaa
 
Ofisi yako haina choo mpaka uende mgahawa wa watu,au ndio mazoea ukila kila siku pale ndio uanapageuza kwako
 

Mimi nashauri tuache kufanya vitu kwa mazoea. Kiustaarab hata baada ya kuingia mgahawani na kuwasalimia, bado ulipaswa kuomba ruhusa ya kutumia washroom (choo). Lakini kwa sababu ushazoeleka ukaona sawa. Tujitahidi kutumia elimu zetu kuondokana na sintofahamu kama hizi katika jamii
 
Topic ndefu utazani report ya imf sasa wapi ulipobaguliwa umeandika vitu ambavyo havihusiani na story yako
 
Huwa mnawezaje kutumia IDs zaid ya moja? Mi naona ni ngumu sana. Maana hata uandishi wako unaonesha ni wewe mwenyewe kabisa kwa personality hii....

Hahahaaaa! Mkuu punguza munkari utakata shanga! Viapo vya ban won't help you!

Nilieleza ninavyomfahamu huyu mzee, sikueleza whether he was right or wrong!
 
Huyu ni wakili msomi, Hili taifa la kijinga sana.. limejaa wasomi wasio jitambua..

Kwa upumbafu wako ulitakiwa upigwe makofi mbele za watu
 
Huwa mnawezaje kutumia IDs zaid ya moja? Mi naona ni ngumu sana. Maana hata uandishi wako unaonesha ni wewe mwenyewe kabisa kwa personality hii....
I just like the way you are going down!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…