mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Na ukitapeliwa uje utuambieWe ni mjinga tu km ulivyojiita akili yako imejaa mafimafi.
Kwa taarifa yako tayari tunaenda kuchukua mzigo soon huko we lala na mafi yako nyau wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukitapeliwa uje utuambieWe ni mjinga tu km ulivyojiita akili yako imejaa mafimafi.
Kwa taarifa yako tayari tunaenda kuchukua mzigo soon huko we lala na mafi yako nyau wewe.
Sifanyi kazi na wajinga km wewe kaa utulie hapo.Na ukitapeliwa uje utuambie
SawaaSifanyi kazi na wajinga km wewe kaa utulie hapo.
unakula karanga za 50 unakuta jiwe unadhani umekuwa millionaire!View attachment 3158282
Jiwe gani hili wakuu, nilikua natafuna karanga toka kanda yakati nikalikuta humo.
Nisije nikatupa neema Mungu amenitumia kimyakimya.
Ni rangi ya brown light ugoro kabisa,limechongeka pembetatu 🔻,gram si chini ya 25.
Wataalam njoeni hapa.
Huna akili wewe, bora huyo muuza karanga ana àkili anatafuta hela, wewe unàtaka kuokota hela? Ondoa utaahira wako humu.Angalia jiwe hilo halijasafishwa huoni nini?
Unaanza matusi badala ya kujadili hoja,Huna akili wewe, bora huyo muuza karanga ana àkili anatafuta hela, wewe unàtaka kuokota hela? Ondoa utaahira wako humu.
Nyie ndio babuzenu walipewa gololi wakatoa dhahabu.Hilo jiwe ni la kawaida sana yametapakaa mtaani kwetu hayana umuhimu wowote
Kinyesi cha mamayako limetoka hili jiwe.Mkuu ulitoa kwenye karanga au kwenye kinyesi Chak*.
Naona Appendix yako imetema kijana.
Ndio mana nimeuliza,anyway nishapata ufumbuzi na kuna kazi ya kufanya situpi.Ilo n jiwe la kwenye moram halina ishu yoyote ua yanakua kwenye karanga na maarage kutokana na wakulma kuanka chin mazao yao
Hakuna dagaa wa nyama bro.View attachment 3158282
Jiwe gani hili wakuu, nilikua natafuna karanga toka kanda yakati nikalikuta humo.
Nisije nikatupa neema Mungu amenitumia kimyakimya.
Ni rangi ya brown light ugoro kabisa,limechongeka pembetatu 🔻,gram si chini ya 25.
Wataalam njoeni hapa.
Hamna shida ndio hapo naangalia namna mkuu,hela sitafuti zipo.Hakuna dagaa wa nyama bro.
Tafuta hela
Yaokote kuanzia sasa hapo mtaani yapo sokoni kwasasa zinahitajika tani 2.Hilo jiwe ni la kawaida sana yametapakaa mtaani kwetu hayana umuhimu wowote
Naona chuya unataka igeuke ruby.😅😅😅Hamna shida ndio hapo naangalia namna mkuu,hela sitafuti zipo.
Naongezea nikipata
Subiri mrejesho utakuja hapaNaona chuya unataka igeuke ruby.😅😅😅