Jiweke Imara kwa Tendo la Ndoa

Jiweke Imara kwa Tendo la Ndoa

Hello Hello WanaJF

Wanaume! Kula hivi
Mwanamke mlishe mumeo/hawara/mpenzi

1.Supu ya maharage
2.Maziwa mtindi
3. Mtori
4. Kitunguu swaumu walau punje 5
5. Asali
6. Nafaka-mbegu za maboga, Karanga
7. Jogging au zoezi la kukimbia
8. Tambua vitu vinavyokutoa stress na kukupa tabasamu
9. Epuka magonjwa ya kujitakia UTI, Malaria, etc.
10. Kitunguu Maji, tangawizi, hoho
11. Tango ila usile na asali
12. Supu za mboga za majani.
13. Ubora wa afya yako
14. Mapokeo ya Mpenzi wako
15. Mvuto wa mwanamke iwe msambwando, Chuchu, lips, rangi,

Haya yanatosha meal planning kuhusu wanga, protein etc mlipie au watasaidia walokuzaaeni.

Jipende jipende jitunze jitunze
Yaani mtu ale mavitu yote hayo ili tu kugegeda.Hizo nguvu zikiisha achana tu na "K" fanya tu mambo mengine.
 
Yaani mtu ale mavitu yote hayo ili tu kugegeda.Hizo nguvu zikiisha achana tu na "K" fanya tu mambo mengine.
Hujaambiwa kula vyote kwa pamoja jitahidi usikose hata vitatu tu jenga mazoea basi hata kabla mechi piga Susi ya maharage ya buku na karanga robo asubuhi kisha kunywa maziwa mtindi Lita
 
Kama wew n mbovu n mbovu tu mbona mnatumia nguvu nying Sana hujiwez hujiwez tu ata ukipaka vumbi litakuja kufubaaa tu alafu kitu cha ajabu unakuta n vijana wadogo Sana ata 30 hawana
 
Kama wew n mbovu n mbovu tu mbona mnatumia nguvu nying Sana hujiwez hujiwez tu ata ukipaka vumbi litakuja kufubaaa tu alafu kitu cha ajabu unakuta n vijana wadogo Sana ata 30 hawana
Ushauri hauna kitu artificial ni haki na wajibu kuchagua kupuuza au kuzingatia afya yako ni yako wengine hubakia ni mashabiki tu wa heri na wa shari wote wapo
 
Kitunguu swaumu tumia kwa akili gesi kama yote ukienda choo ila the dude anakaa vizuri mno hii inasaidia kwa walio bize with demanding ladies au masugu ya Show kali mfano legendary ladies waliopitia kupakiwa mkongo au Viagra
Ukitumia nyingi kichwa kitauma sana.
 
Ukiwa huna Hela Mboo inasimama ( inadinda ) kwa Kujilazimisha ( Shingo Upande ) tu, ila ukiwa na Hela inadinda ( inasimama ) Kisawasawa ( Kiukakamavu ) kabisa tena bila hata ya Kushurutishwa na ama Kuchezewa au Kuivutia hisia Maku.
Hii ni kwa maskini ambaye hajazoea kuwa na hela. Siku akizifuma anawakumbuka mademu wote aliowahi kuwatamani, na M.b.o.o inasimama kutwa nzima ikitaka kujisafisha baada ya kusinyaa kwa muda mrefu (wiki au miezi kadhaa bila kuwa na mzuka).

Kwa tajiri, aliyezizoea pesa, asiye na mashaka ya mlo wa siku, M.b.o.o kusimama inabidi asindikize na lishe bora, mawazo chanya, na saikolojia. Sababu ni simple, hana kiu ya K!. akitaka muda wowote anapata, kwani mademu wengi wanaomzunguka wanatamani waamkie kwake angalau usiku mmoja.
 
Mnaamini uongo bila uthibitisho wa kisayansi.

Ukila tango +asali hufi ni uongo wa waganga wa kienyeji. Unaweza elezea kisayansi kwenye tango na asali kuna nini ambavyo vikichanganyikana kwa pamoja vinatengeza sumu?
 
Back
Top Bottom