Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekua wewe unge fanyaje...?Na ataikana sana coz haikuwa na plan ila maneno ya politics yaliyokosa utekelezaji
Jamani hebu tuorodheza alivyoahidi vyote and then tuhesabu mangapi ameshayakana, mangapi anategemea kuyakana na mangapi yametekelezwa na yepi hayajakanwa wala kutekelezwa na wala kuzungumziwa.Haya hiyo siyo yake!
nahisi atasema hivi uchumi wa dunia utetereka....teh tehVipi ile ya ajira 1,000,000 nayo aliikana..???? Au bado kwamba tunasubiri akane moja hadi nyingine.... mweeeeeeee.......ama kweli imbombo ngafu...!!!!!!!!!
Vipi ile ya ajira 1,000,000 nayo aliikana..???? Au bado kwamba tunasubiri akane moja hadi nyingine.... mweeeeeeee.......ama kweli imbombo ngafu...!!!!!!!!!
Haya hiyo siyo yake!
Mkuu mbona maswali mengine yanaleta kichefuchefu...Ebu rudia kusoma hotuba ya JK kisha fikiria ungekuwa wewe ungefanya nini!Ungekua wewe unge fanyaje...?
Hii ni sera ya ngapi sasa Rais wetu anakana...JK imefika mahali ni rahisi mno kutabiri atafanya nini next..!!
Ni bora aseme tu uongozi wa nchi umemshinda na hivyo hatagombea tena 2010 badala ya kujibaraguzabaraguza tu kila kukicha.Kuna ugumu gani wa kutamka kwamba, "Naipenda sana nchi yangu ipate maendeleo ya kweli kabisa. Muda niliokaa madarakani wa miaka mitano nimeshindwa kuyatimiza yale niliyowaahidi katika kampenzi zangu za Urais hivyo nimeamua ili kuinusuru nchi yetu mimi sitagombea tena na hivyo kumpisha mtu mwingine naye ajaribu kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania."
ha ha ha,teh teh hii kali kweli huyu prez ni mtupu kiasi hiki?nahisi homa kabisa hapa,sijui sisi watz tutaonewa mpaka lini?nadhani sasa iliyobaki nayeye kaona hapa ni kukanusha tuu kila atakachoulizwa sasa afanyeje,kwani tutampeleka au kumshtaki wapi.hilo ndo changa la macho tushapigwa na mpaka ifike 2015 nadhani bongo itakua tayari kama zimbabweMbona hii alishaikana...kama sikosei alikuwa nalihutubia Bunge; alisema CCM walimwandalia, yeye akawa na mashaka nayo wakamwambia wewe umewekwa na CCM, usijali Chama kitatekeleza sera bila wasiwasi.
Hajaikana bali anachosema ni kuwa hii sera ilikuwepo - na huenda ilikuwa dormant katika mazungumzo ....hivyo utawala wake uliamua kuifufua na kuiendeleza na watakaokuja wataendelea nayo.
Asichosema ni kwanini toka enzi hizoooooo hatukuwahi kusikia kiongozi akiahidi waziwazi kumpa kila MTZ maisha bora?
Maisha bora ni nini?