Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndio maana nasema kuwa hata wengi wetu ambao tumo humu ndani ya JF tuko nje ya nchi,wengine wamelowea huku kwa miaka mingi sana,na hivyo kupoteza ile touch,ukweli ni kwamba mwananchi wa kawaida pale bongo akiingia humu anaweza kudhani labda ni maigizo,hakuna reality,watu wanaongea vitu visivokuwepo na kufagilia issue zisizomgusa Mtanzania wa kawaida.Kikwete amewahi kutoa one on one interview ndani ya Tanzania?
Amewahi kuulizwa swali hata moja na mwandishi mzalendo?
Wapi, lini, nani alimuuliza, na alijibu nini?
Perfomance ya JK'S interview ni ya kawaida kabisa,na kwasababu kuna wanaoona ni high perfomance,then mimi nashangazwa sana na standards zetu.
..zaidi mimi nashauri ile set-up ya kimdahalo kama ya pale BOT haimfai. hii one on one ndiyo anaweza zaidi.
... hata mimi sijawahi kupata kusikia akijibu hoja za mwandishi mzalendo,bado kusikia ama kuona.
.................Alipoulizwa aelezee kuhusu humble upbringing yake na how possible did he get there as a president na ana nini cha kusema kuhusu hilo yeye alidai kuwa Babu yake ndiye alimpenda na akaamua kuishi naye,na pia kwamba babu yake sijui uncle alikuwa chief,then akaendelea kwa kusema kuwa alienda jeshini na akawa pia mwanachama wa ccm na ndio maana akawa rais....Ukweli ni kwamba hilo siyo jibu sahihi,kwasababu hakuelezea kama ali work hard to get there or what,na ni what kind of circumtances zilimwezesha kufikia hapo alipo,sasa kama ni kuwa mjukuu wa chief na kuwa mwana ccm pekee ndivyo vilivyompa uwezo wa kutokea kwenye umasikini hadi urais,then hakuna situation yoyote ambayo inaweza kumweka kwenye kundi la watu wa kawaida waliotokea kuwa viongozi wakuu wa nchi,tayari alikuwa na lots of priveledges na ndio maana alijibu alivyojibu..................
Sasa anaogopa nini kufanya interview nyumbani?
Huyu si tuliambiwa ni mzungumzaji, mtu wa watu mcheshi, he can talk an owl out of a tree, kijana, anaweza kuimbisha wake kwa waume, unaweza kunywa nae chai ukawa comfortable tu, you know, sifa kama za Mwinyi.
Now imagine that, Rais umetawala miaka inaenda minne, hujawahi kukutana na mwandishi nyumbani. Anaogopa?
kwi kwi kwi kwi....................it was interesting to know though.......safari hii amejitahidi kuwa focused japo still alikuwa shallow........
J-Mushi,
Nimesoma jumbe zako nyingi hapa kuhusu hii interview ya JK na kusema ukweli azimake sense hata kidogo. Mimi nimesema ya kuwa JK amejitahidi ukifananisha na press conference zake za nyuma. Amejitahidi kwa kiasi fulani na ndio maana nimempa B- na sio A+. Mimi naichukia serikali ya CCM na vile inavyoukumbatia ufisadi; lakini mtazamo wangu aunizui mimi kumpa JK fair shake.
J-Mushi,
Nimesoma jumbe zako nyingi hapa kuhusu hii interview ya JK na kusema ukweli azimake sense hata kidogo. Mimi nimesema ya kuwa JK amejitahidi ukifananisha na press conference zake za nyuma. Amejitahidi kwa kiasi fulani na ndio maana nimempa B- na sio A+. Mimi naichukia serikali ya CCM na vile inavyoukumbatia ufisadi; lakini mtazamo wangu aunizui mimi kumpa JK fair shake.
. . . nilishweka wazi kuwa sijawahi kumsikia akihojiwa. Na nikasema based on the questions,hakuna jipya aliloulizwa ambalo labda hakuwahi kuulizwa kwenye safari zake akiwa waziri wa mambo ya nje kwani alikuwa akisafiri hivi sasa ni cha mtoto.
Kazi ni kubwa.
Kikwete amewahi kutoa one on one interview ndani ya Tanzania?
Amewahi kuulizwa swali hata moja na mwandishi mzalendo?
Wapi, lini, nani alimuuliza, na alijibu nini?
Jmushi ,
Through the above statement, one can easily conclude that you are contradicting yourself, and worst of all, you are making conclusions based on speculations. Who told you that he was asked those questions when he was a foreign minister? This is preposterous and that was a reason from the 'get-go' I said your argument doesn't make sense! Besides, the issue at the forefront is not how he governs Tanzania but how he performed in that CNN's interviews.
nakubaliana na wewe
kabla ya kuanza kusema kiingereza sijui kiswahili sijui watu hawampendi
jk lazima ajue kama anawakimbia waandishi wahabari TZ basi akienda safari zake za nje hawezi kuwakimbia
washauri wa kikwete ni wabaya wangetakiwa wanamwambia mkuu kila mara awe na kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo na waandishi wa habari bongo, akiweza kujibu kwa kiswahili basi hata akienda nje ataweza kujibu
nimeona waarabu bwana wakiongea kiingereza kibaya kuliko cha JK lakini wakimwaga point kali kuliko za JK
watu mlio kuwa karibu na JK mshaurini jamaa awe anajibu maswali ya waandishi wa habari TZ ili azoee
ile interview ni mbaya sana, imekuwa edited na cnn na inaonekana hivyo je ingekuwa haiko edited, lazima wa edit kwa ajali JK ndio anatumika kuwa mtu wao na kwenda kuwashauri viongozi wengine wa africa hiyo ni strategic decision ya marekani
JK ni mtu mzuri lakini ili TZ iendelee inabidi aache ushikaji na kuwa na roho mbaya na awe mtu mwenye maamuzi