JK akihojiwa CNN--" Dynamic leader, dynamic country "....Toa maoni yako

JK akihojiwa CNN--" Dynamic leader, dynamic country "....Toa maoni yako

Maisha bora kwa kila Mtanzania. Sijui mwakani watakuja na kauli mbiu gani?

JK atabeba nimeshagunduwa,kama anachota hapa kirahisi hivyo,vipi kuhusu wananchi wengi ambao hata elimu hawana?
Ndiyo hivyo mkuu,kama hakutakuwa na wenye mawazo ya tofauti basi it will be the same over and over again.
Inasikitisha sana,na ninaudhika sana kukubaliana na statement kwamba miafrika ndivyo tulivyo.
Maisha bora ya nini? Wape maneno bora tu.
Inasikitisha sana,nasikia pia waligawa na vyupi huko Busanda....Inasikitisha sana kwasababu sisi watanzania tunachukuliana kama ndugu,basi najihisi ni kama wamewadhalilisha mama na dada zangu.
 
Inasikitisha sana,na ninaudhika sana kukubaliana na statement kwamba miafrika ndivyo tulivyo.

Hehehehehehehee..pole sana. Unajua kuhusu Miafrika, ni vigumu sana kuipinga kwa vitendo. Kwa maneno kila kitu unaweza kupinga. Fikiria, kwani kuna ugumu kusema Miafrika Sivyo Tulivyo? I just said it. Je, ninaweza kurudi kijijini na kusema kwa vitendo (kumbuka actions speak louder than words) kuwa Miafrika Sivyo Tulivyo
 
Amejitahidi kwa kiasi fulani na ndio maana nimempa B- na sio A+. Mimi naichukia serikali ya CCM na vile inavyoukumbatia ufisadi; lakini mtazamo wangu aunizui mimi kumpa JK fair shake.

Kwa nini unasema serikali ya CCM inavyokumbatia ufisadi - hivi serikali ni nini au nani. Usituletee yale yale ya Redet kuwa Kikwete anajitahidi ila serikali/viongozi aliowateua yeye ndio wanamwangusha. Jamani hii ni JF tunapomkoma nyani bila kumwangalia usoni. Katika hiyo interview na CNN, Kikwete siyo tu kapwaya kweli kweli bali ameonyesha kuwa out of touch na hali ya wananchi wake - labda hii inatokana na kutokutulia nyumbani.

Rufiji, hayo maoni yako yapo juu yananikumbusha machungu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. Wengine tulijaribu sana kupiga kelele kwamba hapo hamna kitu zaidi ya tabasamu lakini tulivyokoromewa na watu wa aina yako - well, tunavuna tulichopanda. Eti huzuiwi kumpa JK fair shake - what in the world do you mean ? JK alipewa mandate na asilimia 80% ya watanzania and what has he done to show for it - trip to US every two months ?
Kosa si kosa ila kurudia kosa - 2010 ?
 
Iam not a big fan of CCM or Tz politics in general but I watched CNN and I think JK talked well, being it a one to one interview in such an international mwdia level. Either we do not know so far to what extent the host edited the program maybe there are better things which he said and which ''to them'' it is not ''news'' or (maybe not) but he explained himself well, clearly and fluently.
I agree that he showed misunderstanding in some of the qns and ended up gave wrong answers, I strongly agree that he missed a point when talking about ''humble begining'' which he once had. However I was proud to watch him and being a Tanzanian give him a 7.5!
I know we criticise a lot, but have you asked yourself, if it was you, what will be your perfomance? typing in this forum is very easy you can say whatever you want but what if you were on live show online? Lets Give him his credits bwana.
 
Iam not a big fan of CCM or Tz politics in general but I watched CNN and I think JK talked well, being it a one to one interview in such an international mwdia level. Either we do not know so far to what extent the host edited the program maybe there are better things which he said and which ''to them'' it is not ''news'' or (maybe not) but he explained himself well, clearly and fluently.
I agree that he showed misunderstanding in some of the qns and ended up gave wrong answers, I strongly agree that he missed a point when talking about ''humble begining'' which he once had. However I was proud to watch him and being a Tanzanian give him a 7.5!
I know we criticise a lot, but have you asked yourself, if it was you, what will be your perfomance? typing in this forum is very easy you can say whatever you want but what if you were on live show online? Lets Give him his credits bwana.

Bi Lilian kwanza karibu ukumbini.
Nimeshindwa nianzie wapi kujibu posting yako hii kwasababu there is a tremendous amount of contradictions,na pia kama ungetumia muda kusoma posting za numa labda ungeelewa zaidi ya ilivyo sasa....Kwa mfano kauli hii hapo chini...Hilo linanitatiza sana,ina maana tunachagua viongozi wa Tanzania ili kumplease nani? Kwamba katuwakilisha vyema ndo umempa 7.5,na umesema katuwakilisha vyema kwa kuwa fluent,kama ukisoma postings zilizopita basi tutaepuka kurudisha mjadala huu nyuma
However I was proud to watch him and being a Tanzanian give him a 7.5!

La kushangaza zaidi,hiyo scale yako ya 1-10,ukampa 7.5 kwa maana kwamba the above conclusion trumped the following...

I agree that he showed misunderstanding in some of the qns and ended up gave wrong answers,

Realy confusing ain't it?
Kaazi...

 
I agree that he showed misunderstanding in some of the qns and ended up gave wrong answers,

Seconded.

I strongly agree that he missed a point when talking about ''humble begining'' which he once had.

Agreed.

However I was proud to watch him and being a Tanzanian give him a 7.5!

Wow, I dont understand this - pride while watching and 7.5 ? for what. Small wonder you gave him the presidency in 2005.

I know we criticise a lot, but have you asked yourself, if it was you, what will be your perfomance?

It wasn't me and I am not the president, but if I was - definitely I'd perform better but if I didn't ? - it'd definitely warrant criticism.

typing in this forum is very easy you can say whatever you want but what if you were on live show online? Lets Give him his credits bwana.

This president has been in the public limelight for over two decades. Give him credits, for what - for being Tanzanian ?

Lilian, my heart bleeds for you. Could you try and be serious even for a moment - of course that is the Tanzanian way of doing things and no wonder we are where we are - it is pathetic.
To run you have to learn to walk first
 
Ni more than Pathetic!
Madai yake ni kwamba sisi tunatype hapa na hivyo hatuwezi kucritisize live interview,nimechoka,watanzania wengine wanachukulia uongozi kama urais kuwa ni uwakilishi wa kumplease bwana mkubwa mzungu in how we fluently speak their mother language,and how we present ourselves in a way and manner that pleases bwana wakubwa whom we beg every now and then,nothing is ever serious kwa wabongo bana.
 
ANOTHER INTERVIEW

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=hCxY2otR6w8&feature=related]YouTube - Jakaya Kikwete - Tanzanian President - Impact of Global economic slowdown on Africa[/ame]


***********COMMENTS***********
 

Ama kweli we have a presidaa,huyo dada alipogusia suala la EPA unaweza kuona reaction ya Mh Rais facial expression na body language vimeonyesha wazi hakuwa comfortable na swali.

Pili tatizo la rushwa kwake ni wazi si imminent....Kwani amelizungumzia kama porojo tu na hata facial expression na majibu yake hakuonyesha great concern,sasa tunajuwa kuwa ni kweli kelele za ufisadi kwake zilikuwa kelele za mlango?

Tatu nina imani anajibu maswali honestly lakini yuko wrong,hilo linaweza kuwa ni kutokana na washauri ama wale wanaomzunguka na kuzungumza naye kuhusiana na mambo mbali mbali,be it ya kiuchumi ama ya kijamii,internationally na hata domestic.

Ni vyema tukawa tunauwezo wa kumsikia na kumwona rais,shukran kwa sana Mstahiki.

Alinishangaza sana eti anapo champion Capitalism na wakati swali aliloulizwa lilikuwa ni kuwa atafanya nini wakati mwelekeo wa mataifa makubwa hususan wafadhili kama USA wanaelekea kuizika capitalism kwa ku nationalise baadhi ya makampuni na otheres measures.

Huyu mtu kumbe ndo maana alikuwa rafiki mkubwa sana wa Bush na mwalimu hakumpenda.

Sikufurahishwa na jibu lile,kama anajua kuwa ubepari ndo ulikuwa the main cause ya matatizo hayo ya kiuchumi,na kwamba hata ubepari wenyewe tumeuiga kutoka kwa hao tunaowamba misaada na kuwategemea,ni kivipi yeye asisitizie kuwa they take the same route? na kwamba we are gonna take the same route regardless? Is that realy the right answer from an understanding person? Je span yake ya uelewa kuhusiana na mambo ya kiuchumi ni pana kiasi gani?

Shida ni kwamba kuna anachonufaika nacho kuhusiana na hizo kauli zake za free market,ni wizi mtupu na ujinga wa wananchi unakuwa taken for granted kwa kushirikiana na kina mabepari,na ubepari kwenye nchi yetu ni ujambazi,uporaji, unyang'anyi na utapeli,ubepari umwangushe mmarekani yeye ajidai kuwa eti ni mzuri,hawa ndo kina Mardoff wetu hawa,kwasababu hata hizo mali za Taifa si wanazo wao?Hizo free market zinzo kuwa runned na makampuni feki na huku wananchi wakiwa hawanufaiki na mali zao? Wanacheka tu huku wakidai ni "Free Mrkt" Nasikitika kusema kuwa hawa watu wanaweza kuja kupata matatizo makubwa sana hapo mbeleni kwani hawawatendei wananchi wa kawaida haki na wanawadharau kupita kiasi.

Angesema tu we hope that is the right way to solve the problem ama hata angesema kuwa hizo ni hatua muhimu za kuundoa uchumi wa dunia kwenye matatizo....Akae na watu wenye ufahamu na uelewa,hivi huyu mtu anakaa na nani na nani ni washauri wake?

Na kama ni kweli ana champion free market,then angesema kuwa zile loopholes ndani ya capitalism system ambazo zimesababisha matatizo haya ya kiuchumi zizibwe,kwasababu zipo,kutokuzitaja sababu za kuingia kwenye matatizo ni maana kwamba he's unaware of whats going on....Yeye alibakia tu kusema free market na kufanya comparisons na siasa za mwalimu chini ya Nationalisation...Na kudai kuwa hakuna cha maana kilichoonekana.

Pia anadai kuwa anataka watu waseme ametutoa chini na kutupeleka juu baada ya miaka yake mitano,ameshakaa na mwandishi local na anajuwa kuwa badala ya juu ametupeleka chini zaidi?

Kwa kifupi ni kwamba anajua kwa namna moja ama nyingine anchokifanya na ameridhia,kwani hajui kuwa matatizo hayo ya kina Mardoff na sisi tuna kina Mardoff wetu ambao bado hawajawa accountable? Ama ujambazi wa Kagoda,EPA nk hauhusiani na hiyo free market yake?

Ninasikitika kuwa tunaweza kupata mgogoro mkubwa sana kama asipokuwa makini na kuhakikisha kuwa anakuwa na washauri wa maana.
 
++++++++++++++Kikwete On Grand Coalition.+++++++++++++++++


[ame=http://www.youtube.com/watch?v=OmEnl5gGRJs&NR=1]YouTube - Kikwete On Grand Coalition.[/ame]
 
jmushi1


Mimi nafikiri rais wete anahitaji msasa mkubwa sana katika kujibu maswali...sana sana ya Kiingereza.Mimi nilidhani 10 years ya Wizara ya Mambo ya nje ingempe epeo na uwezo mkuwa wa kuwa articulate by using English language easily and fluently; having facility with words.But also attaching some of serious things with example zinazoeleweka.


M.
 
jmushi1


Mimi nafikiri rais wete anahitaji msasa mkubwa sana katika kujibu maswali...sana sana ya Kiingereza.Mimi nilidhani 10 years ya Wizara ya Mambo ya nje ingempe epeo na uwezo mkuwa wa kuwa articulate by using English language easily and fluently; having facility with words.But also attaching some of serious things with example zinazoeleweka.


M.
Miaka hiyo kumi hakuitumia kujielimisha zaidi ya kuandaa mkakati wa kuingia Ikulu. Hilo wote tunalijua.
 
Back
Top Bottom