JK amteua Prof. Idriss Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TIRDO

JK amteua Prof. Idriss Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya TIRDO

Kwa kuendekeza ushabiki uliopitiliza, nasikitika kusema JF tunaelekea kuwa 'MUFLISI' au kwa lugha nyingine; JF is ideologically buncrupt!
 
Kwa hiyo na wewe unaamini kuwafanyia Kama hayo waislamu Tanzania ni halali na ni sawa?


<br />
<br />

HAPANA.... nilikusudia kuonyesha kuwa pepombili alikosea pale alipodai kuwa wakristo wanachuki dhidi ya waislam wa hapa tanganyika na duniani kote. Ukweli ni kwamba Waislam ndio wenye chuki dhidi ya wakiristo hapa tanganyika na duniani kote. nilitaja mifano michache tuu kudhibitisha argument yangu.

Nikurudi kwenye ajenda yako, hapa tanganyika hapajawai kuwepo uonevu wala ubaguzi wa kidini. lakini hivi karibuni waislam wameanzisha self awareness miongoni mwao wakiwatuhumu wakiristo kuendesha dhuluma dhidi yao, ukiangalia kwa undani hii hoja ya waislam ina mapana marefu. Hapa wanajenga misingi ya kupata sababu za kutekeleza nia yao ya kuufanya uislam uwe juu ya imani zingine na ikibidi hata utumiaji wa nguvu.

Fikiria kisingizio cha mfumo kiristo, Haiingii akilini mfumo huo utoe raisi mwislam pamoja na makamu wake, pia raisi na makamu wawili wa zanzibar wote waislam bila kusahau mawaziri wa pesa, ulinzi, mambo ya ndani, elimu na wakuu wa idara zote nyeti za serkali wote wakiwa ni waislam, halafu mtu mzima anasimama mbele ya umati wa watu kulaani kuwepo mfumo kiristo unaokandamiza waislam???????

Napenda kukumbusha kuwa, Misri ilikuwa nchi ya Kikristo iliyotekwa na waislam. wakati nchi hiyo inapata uhuru bado kulikuwa na idadi kubwa ya wakiristo wakiishi vizuri kwa amani na ndugu zao waislam, hata bendera yao baada ya uhuru ilikuwa na alama za msalaba na mwezi. Jinsi miaka ilivyoenda idadi ya waislam iliongezeka na madai yao pia kuongezeka hadi inchi ikatangazwa kuwa ya kiislam na dini zingine kupewa second class status. Hivi leo wakiristo wa misri wako kwenye mateso, makanisa yanachomwa, wanauwawa na hawaruhusiwi kushika nafasi yoyote ya uongozi juu ya mwislam

Kwa maoni yangu maadam waislam wa nchi hii wameshaanza hizi propaganda, basi Tanganyika hatuko mbali kufikia experience ya Misri au nchi zingine za kiafrika zenye mchecheto wa kiislam. Bahati mbaya hatuna tena charismatic leaders kama JKN wenye uwezo wa kukemea hizi dalili ovu.
 
gud for him? ardhi wana walimu wa kutosha?[/QUOTE]

mkuu kabla yake alikuwa prof. IDRISSA KIKULA ambae sasa yupo UDOM, huyu nae ni mzanzibar na anashutumiwa kwa kuweka wanzanzibar wengi kwenye admistration, kuanzia alivyokuwa ardhi hadi asaiv UDOM. kaaaaaz kwel kwel.

acha uongo, Kikula Mhehe bwana! Usiwe unaandika kama huna uhakika na unachosema
 
HAPANA.... nilikusudia kuonyesha kuwa pepombili alikosea pale alipodai kuwa wakristo wanachuki dhidi ya waislam wa hapa tanganyika na duniani kote. Ukweli ni kwamba Waislam ndio wenye chuki dhidi ya wakiristo hapa tanganyika na duniani kote. nilitaja mifano michache tuu kudhibitisha argument yangu.

Nikurudi kwenye ajenda yako, hapa tanganyika hapajawai kuwepo uonevu wala ubaguzi wa kidini. lakini hivi karibuni waislam wameanzisha self awareness miongoni mwao wakiwatuhumu wakiristo kuendesha dhuluma dhidi yao, ukiangalia kwa undani hii hoja ya waislam ina mapana marefu. Hapa wanajenga misingi ya kupata sababu za kutekeleza nia yao ya kuufanya uislam uwe juu ya imani zingine na ikibidi hata utumiaji wa nguvu.

Fikiria kisingizio cha mfumo kiristo, Haiingii akilini mfumo huo utoe raisi mwislam pamoja na makamu wake, pia raisi na makamu wawili wa zanzibar wote waislam bila kusahau mawaziri wa pesa, ulinzi, mambo ya ndani, elimu na wakuu wa idara zote nyeti za serkali wote wakiwa ni waislam, halafu mtu mzima anasimama mbele ya umati wa watu kulaani kuwepo mfumo kiristo unaokandamiza waislam???????

Napenda kukumbusha kuwa, Misri ilikuwa nchi ya Kikristo iliyotekwa na waislam. wakati nchi hiyo inapata uhuru bado kulikuwa na idadi kubwa ya wakiristo wakiishi vizuri kwa amani na ndugu zao waislam, hata bendera yao baada ya uhuru ilikuwa na alama za msalaba na mwezi. Jinsi miaka ilivyoenda idadi ya waislam iliongezeka na madai yao pia kuongezeka hadi inchi ikatangazwa kuwa ya kiislam na dini zingine kupewa second class status. Hivi leo wakiristo wa misri wako kwenye mateso, makanisa yanachomwa, wanauwawa na hawaruhusiwi kushika nafasi yoyote ya uongozi juu ya mwislam

Kwa maoni yangu maadam waislam wa nchi hii wameshaanza hizi propaganda, basi Tanganyika hatuko mbali kufikia experience ya Misri au nchi zingine za kiafrika zenye mchecheto wa kiislam. Bahati mbaya hatuna tena charismatic leaders kama JKN wenye uwezo wa kukemea hizi dalili ovu.

Kwenye nyekundu:
Wakristo walikuwa wapi kulalamikia hilo kama wenzao wanavyofanya?

Kwenye bluu:
inasemekana Sudan pia. Jihad ikapigwa na wote walioonekana kinyume na Jihad wakalazimishwa kuingia huko la sivyo hali ni mbaya...!
Sudan kusini wamestuka...!
 
Kwa kuendekeza ushabiki uliopitiliza, nasikitika kusema JF tunaelekea kuwa 'MUFLISI' au kwa lugha nyingine; JF is ideologically buncrupt!

Jf si mufilisi kwa sababu imekuruhusu hata wewe kutoa utumbo ulioutoa bila kupewa hata warning.
 
Hapa tatizo sio huyu Prof. tatizo ni kuwajaza pale nafasi inapopatikana. Macho na masikio tunayo na tunaona. Ndi wamesoma lakini ni wachache ila ni lahisi kugundua. Mchezo huu ufe vinginevyo tunashangilia vilema.
 
Aliyemaliza muda wake alikuwa mkristo na mpya ni mwislamu udini uko wapi. Kama ningekuwa na uwezo ningehama Tanzania kuna watu mnaendekeza udini pasipo sababu na mnauchochea pasipo sababu.

Kuanzia kikwete ameshika madaraka takwimu bado zinaonyesha kwamba ameteua wakristo wengi kuliko wa dini yake bado kuna watu wanadhani Rais ni mdini. Hivi tunataka tuanze kuhesabu teuzi kwa dini? Tanzania unakwenda watu.....motoni........kwa nini?....nimependa mwenyewe........mmmmmh
 
Back
Top Bottom