Jk aongoza maziko ya shekh yahya hussein

Jk aongoza maziko ya shekh yahya hussein

Mnyiazi mungu auweke pema roha ya maremu shekhe yahya hussein amin
 
Ametangulia na sisi tutafuata, kila mtu kwa wakati wake.
 
Mbowe, kitendo cha huyo &quot;Mtakatifu&quot; Yahya kuleta vitisho vya mara kwa mara kwa manufaa ya Wakubwa ndiyo unyenyekevu unaozungumzia? <br />
Anyway, Marehemu hana sifa mbaya...
<br />


Pamoja na kwamba i fanatically love Chadema and Revere Mbowe ile mbaya nafikiri aliteleza kutoa Matamshi hayo,Unyenyekevu Upi? Wa kutabiria Kifo watu wengine,nahisi hapa alitaka tu kuwapendeza Waislamu,he shudnt have said those words,he could just attend the funeral to show Solidarity period!!
 
Pole maalim,ila maliim Hao majini wema ndo wanafanya kazi gani na watakuwa mbinguni au kwa shetani?
Majini ni viumbe. Kama ukisema Bin-adam.
Unaposema mapepi au mashaytwani...hizo ni sifa mbaya kwa viumbe wa kijini au wakibin-adam.
Hiyo ya kusema majini ni wabaya unakua umekosea kwa sababu umetaja majina au asili kama ukisema binadam ni wabaya....ni vyema useme binadam huyu ...unampa sifa ya ubaya...kama mwizi au ujambazi n.k.
ukisema jinn hujataja sifa hapo.
 
Kwani ungechangia mchango wako tu kwenye hii mada bila kusema unaishi wapi ungepungukiwa na nini? wapo wanaoishi magomeni lakini hawajui lolote kuhusu huyu mchawi Sheikh Ubwabwa.

inaonyesha ufitini why channel ten hawana habari hiyo? yaani tunagombana sababu hii? keli humu tunatafuta nini? Democracy au fitina?
 
Kwani ungechangia mchango wako tu kwenye hii mada bila kusema unaishi wapi ungepungukiwa na nini? wapo wanaoishi magomeni lakini hawajui lolote kuhusu huyu mchawi Sheikh Ubwabwa.

Ndugu Matola mbona siyo majibu mazuri kwa mchangiaji mwenzio? sidhani kama unahaja ya kuzodoana, hapa jamvini kwani sote tunajenga TZ yetu kwa uhuru na umoja,
je kunakitugani kimekuudhi hata ukamsopisha kwa ukali hivyo? unadhani amejiona kuwa nje ni ujiko zaidi ya wale walioko nyumbani?
Hekima yamtu iko kwenye ulimi wake mbele ya wengine.
 
Pole Maalim Jumar.

"Al-Ladhna 'Idh 'Abat' hum Mubatun Ql 'Inn Lillhi Wa 'Inn 'Ilayhi Rji`na".
Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea.

Baqarah: 156
Thank you in advance!
 
mtabiri wa nyota anafanya kazi hiyo kwa nguvu gani? ilm gani inamsaidia kutabiri?
Itno...!
Umeuliza lakin ndani ya swali lako kama unachuki zako.
Ilmu yeyote kama huijui...kwanza uliza wajuzi wake wakujuze...sio kueleza usichokijua...ni ujinga wa wazi huo...kwa wenye uelewa unaonekana wa ajabu.
Ilmu yeyote ina Principles....nguvu za ilmu ni kupatia kanuni.
 
Maalim Jumar, mimi huwa sielewi kwa nini waislamu mnapunga majini na kufata masharti wanayoyataka kama kuvaa nguo nyeusi nk? tofauti na wakristo sisi tunayakemea kwa jina la yesu na kuyafurumishia mbali yatoke.

kwa nini mayatukuza? ukiwa kama mtaalamu wa majini una ufafnuzi wa hilo? sina nia mbaya ni swali tu. Pengine huwa tunawaelewa waislamu ndivyo sivyo. Nawapenda sana waislamu, niliobahatika kuwa nao karibu ni wakarimu mno ishu inakuja kwenye swala la kunyenyekea mapepo.

RIP Sheh Yahaya
 
Maalim Jumar, mimi huwa sielewi kwa nini waislamu mnapunga majini na kufata masharti wanayoyataka kama kuvaa nguo nyeusi nk? tofauti na wakristo sisi tunayakemea kwa jina la yesu na kuyafurumishia mbali yatoke.

kwa nini mayatukuza? ukiwa kama mtaalamu wa majini una ufafnuzi wa hilo? sina nia mbaya ni swali tu. Pengine huwa tunawaelewa waislamu ndivyo sivyo. Nawapenda sana waislamu, niliobahatika kuwa nao karibu ni wakarimu mno ishu inakuja kwenye swala la kunyenyekea mapepo.

RIP Sheh Yahaya
sio waislamu wote wenye tabia hizo za kufuga majini nma kuyanyenyekea,mamangu muislamu na hana tabia hizi ni wachache kama marehemu na wafuasi wake kina maalim juma ndio wanaowachafua wenzao na maushirikina yao
 
Jamani eti hata Mzee wa upako Antony Lusekelo anamsifu Yahya makubwa
 
kufa kila mtu atakufa, na si vyema kumhukumu aliyetangulia. Kwani uzima ni wa Mungu na kifo ni kazi yake. Kuhusu kuanguka kwa jk cdhani ni vyema kuhusisha na ushirikina, kwani hata Dr Slaa alianguka, na akavunjika na mkono, na hiyo tuiteje?, sihani kama tutakuwa tunaendeshwa na hisia na kuropoka itatufikisha kwenye ukombozi na ushawishi tunaoutaka. Wafaham kama mbowe alikuwepo kwenye msiba? Jiulize Sheikh yahya nani asiyemfaham ? Siasa ni watu. Usitoe maneno ya kuwafanya baadhi ya watu watilie shaka mtazamo wako.

Ni dhairi kwamba wewe ni mteja wa jini Yahya,Pole sana!
 
Ama kweli ni hakika ktk ile Mwanzo 6 Yahu aliposema "Najuta kumuumba mwanadamu". Akiinuka askofu wa kilokole tunasema ni nabii wa uongo, akiinuka wa kiroma/kilutheri tunasema wanapepo, Katokea Babu tumesema mno vibaya juu yake, na sasa Marehemu Yahya tunapinda midomo! Au kwa kuwa hatulipii kodi? Nyie sio mnaofunga Wanawake / wanaume hata Ukimwi umeota mizizi? Swali ni moja tu, "Nani kati yenu aliyesafi atuonyeshe mfano?" Tumieni vinywa vyenu vizuri kwa manufaa ya wote na si vinginevyo. Kama wewe hutaki majini , kuna anayeyataka. Si kuwa kila mtu anafuata radha ya mwenzake la hasha bali ladha yake mwenyewe. Wapo wanapenda ukristo wapo wanapenda uislamu, wengine vanila wengine stroberi na wengine karmeli. Acheni Hizoooooooo.
 
Ndugu Matola mbona siyo majibu mazuri kwa mchangiaji mwenzio? sidhani kama unahaja ya kuzodoana, hapa jamvini kwani sote tunajenga TZ yetu kwa uhuru na umoja,
je kunakitugani kimekuudhi hata ukamsopisha kwa ukali hivyo? unadhani amejiona kuwa nje ni ujiko zaidi ya wale walioko nyumbani?
Hekima yamtu iko kwenye ulimi wake mbele ya wengine.
Heri hata umemjibu mana jamaa kaeleza vizuri but huyo mwenye post anajibu harshly
 
Maalim Jumar, mimi huwa sielewi kwa nini waislamu mnapunga majini na kufata masharti wanayoyataka kama kuvaa nguo nyeusi nk? tofauti na wakristo sisi tunayakemea kwa jina la yesu na kuyafurumishia mbali yatoke.

kwa nini mayatukuza? ukiwa kama mtaalamu wa majini una ufafnuzi wa hilo? sina nia mbaya ni swali tu. Pengine huwa tunawaelewa waislamu ndivyo sivyo. Nawapenda sana waislamu, niliobahatika kuwa nao karibu ni wakarimu mno ishu inakuja kwenye swala la kunyenyekea mapepo.

RIP Sheh Yahaya
Ahsante Leonardo.
Swali ni zuri. Ni kweli wakristo mnatuelewa sivyo waislam. Yesu mwenyewe anawajua majini vizuri. Ukitaka ushahidi niulize.
Pia kuwapunga majini nafikiri ni njia zao hao wanaowapunga ikiwa ni taratibu zao kama tiba.
Uislam haujakataza kutibu.
 


Ndo huyu au mwingine?

attachment.php
 
Back
Top Bottom