Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Msinichukie bila sababu mwenzenu!!!sio waislamu wote wenye tabia hizo za kufuga majini nma kuyanyenyekea,mamangu muislamu na hana tabia hizi ni wachache kama marehemu na wafuasi wake kina maalim juma ndio wanaowachafua wenzao na maushirikina yao
Taaluma hii haifundishi uovu...bahati nzuri hata katika ilmu ya dini naielewa kiasi changu Alhamdulillah!
Nimeona/kusoma vyombo vya habari madaktar wakifanya kinyume cha maadili yao...lakini hakuna wanaowasusa madaktari.
Wanasiasa si wote ni wasafi lakini hawajachukiwa wote.
So it's better kuheshimu mtu/watu ambao hujamuuliza/hujawauliza hayo unayoona ni makosa.
Nakaribisha maswali mbali mbali niyajibu....ili ujue niko vipi katika taaluma hii.
Namkubali sana Marhuum Shaykh Yahya.




















