Sam GM
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 535
- 30
JK Apangua makatibu wakuu = This thread
Thread yako haifunguki!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK Apangua makatibu wakuu = This thread
Mwandishi Wetu
Daily News; Saturday,November 29, 2008 @18:01
Mgonja wa Hazina aastafu
Mmoja wa makatibu wakuu waliofanya kazi kwa muda mrefu, Gray Mgonja...Kutokana na kustaafu kwa Mgonja na wenzake watatu
Kwa sasa, Mgonja ambaye yuko katika likizo ya kustaafu, amestaafu...
Mwingine ni Seti Kamuhanda anayekwenda Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Awali alikuwa Msaidizi wa Rais (Hotuba) Ikulu;
... rais amemhamisha Naibu Katibu Mkuu Fanuel Mbonde kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) kwenda Ofisi ya Waziri Mkuu.
Sasa Mkuu FMES huoni kwamba mambo kama haya kama aliyajua kusubiri mpaka Paris ni kuchemsha? Na kwamba serikali ikiwa viwanja huko kunatakiwa collective responsibility?
Alikuwa wapi wakati mipango hii inapitishwa na kuwa adopted kusubiri mpaka ughaibuni kusema hivi?
- Sawa sawa unavyosema, lakini katika perfect political system za huko majuu sio bongo, ambako Professor Sarungi bingwa wa kutibu mifupa anaweza kuwa waziri wa uilinzi.
... rais amemhamisha Naibu Katibu Mkuu Fanuel Mbonde kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) kwenda Ofisi ya Waziri Mkuu.
Dr Florens Turuka kuwa katibu mkuu wa utamaduni na michezo ni kumpoteza huyu mshikaji bure, jamaa ni kichwa sana na hana hata chembe ya ufisadi. Ana doctorate ya micro-economics jamaa akiwa chuoni alikuwa hapendi kabisa michezo !!!! kwanini Muungwana asingempa wizara ambayo angeweza kutumia shule yake ipsavyo?
Dr Florens Turuka kuwa katibu mkuu wa utamaduni na michezo ni kumpoteza huyu mshikaji bure, jamaa ni kichwa sana na hana hata chembe ya ufisadi. Ana doctorate ya micro-economics jamaa akiwa chuoni alikuwa hapendi kabisa michezo !!!! kwanini Muungwana asingempa wizara ambayo angeweza kutumia shule yake ipsavyo?
The President should think of reducing the deputies to cut costs.
Rutabanzibwa fisadi bado yumo tu, na sasa anakwenda kuonana na Fisadi mwingine MASHA. Mmmh Kikwete una shughuli kaka.
- Wananchi angalieni another scenario inayotembea mjini leo sina uhakika na ukweli wake, inasema hivi:-
kulikuwa na vikao vya siri vya kamati za el kugombea urais vilivyokuwa vikifanyika katika hotel ya mzee mmoja mjini anayeitwa Msiba. vikao hivyo vilikuwa vikiongozwa na mramba. na leo mtoto wa mramba ameolewa na mtoto wa huyo msiba. kwamba harakati zimewaka moto za 2010 kwa sababu makubaliano ya mtandao yalikua muungwana atawale term moja tu amuachie el lakini sasa anaonekana kukiuka makubaliano.
Kwa kutumia Keynesian na Adam Smith Principles, Turuka atahkikisha Michezo, Utamaduni na habari zitabadilika mwendo kama zile grafu za supply na demand, M1 mpaka M3 na kwisha kuongeza GDP na GNP za Taifa!
Dr Florens Turuka kuwa katibu mkuu wa utamaduni na michezo ni kumpoteza huyu mshikaji bure, jamaa ni kichwa sana na hana hata chembe ya ufisadi. Ana doctorate ya micro-economics jamaa akiwa chuoni alikuwa hapendi kabisa michezo !!!! kwanini Muungwana asingempa wizara ambayo angeweza kutumia shule yake ipsavyo?
Dr Florens Turuka kuwa katibu mkuu wa utamaduni na michezo ni kumpoteza huyu mshikaji bure, jamaa ni kichwa sana na hana hata chembe ya ufisadi. Ana doctorate ya micro-economics jamaa akiwa chuoni alikuwa hapendi kabisa michezo !!!! kwanini Muungwana asingempa wizara ambayo angeweza kutumia shule yake ipsavyo?