Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
.
BTW, katika mabadiliko ya mawaziri yanayotarajiwa kutokea wakato wowote kuanzia sasa, kutakuwa na mawaziri wawili au watatu kutoka vyama vya ushindani!
Mimi nilishasema wabongo tumepigwa tena changa la macho halafu watu wengine wanamshangilia Tapeli na Msanii Mkuu Kikwete. Huyu jamaa hafai hata kuwa Katibu Kata.
Nafikiri kuna mambo mengi ya kujihoji zaidi ya hapo.
4. Kuna hoja ya Dr. Slaa, hundi,tarehe, kiasi cha fedha, account iliyolipwa na benki viliwekwa bayana. Serikali haijakanusha wala kuchukua hatua yeyote ndo kusema mpaka mchunguzi mwingine haje?
Jee nyie mashushu wa sirikali mnao yasoma haya, mnachukuwa hatuwa gani? wewe jamaa wa kuzuia rushwa unafanya nini? yaani mnaiacha mijitu inakula pesa za umma huu, ambao watu wengi wanahangaika hata matibabu hawapati kwenye hospitali zetu, na nyie mmekaa mnakodolea mi macho tuu. Hivi jamani hao wanaotajwa hamuwajuwi? na hayo yanayosemwa hayachunguziki? mie nashangaa sana, jamani huu ufisadi uliyotukandamiza toka wakati wa nyerere mpaka wa leo tutaumaliza lini? mie nadhani hizi ni njama za system au hamjui system ni nini?Jonson Lukaza(Has a close relationship with Amb. Kazaura)
Jonson Lukaza and Makubo are brothers with close relationship with Malegesi, the
lawyer and brother of CCM Wazazi Chairman, Malegesi. Using the name of CCM
falsely, Malegesi and Lukaza used the very close relationship with Governor Balali to
participate in theft of Government funds from the Foreign Debt Service Account of
Bank of Tanzania. Malegesi, abusing his position as a lawyer, has prepared false
documents documents, and also written letters on behalf of Japanese companies( who have noknowledge of the documents and claims) to confirm their assignment to companiesowned by Malegesi, Lukaza, Vimal Mehta, Jeetu Patel
Malegesi and Lukaza have been charged before for stealing Government funds in
2001 in Mwanza and other places. They have defrauded the Government of Tanzania
USD 30 million. The criminals have recently purchased properties of USD 25 Million in
Tanzania and suddenly found new found fame in USD 200,000 Mercedez Benz and
Range Rovers. The opulence was recently described by a British Airways official as
clear stupidity when Lukaza and his partners flew in Range Rovers vehicles by air to
Tanzania from the United Kingdom. He is more like a Soldati for Jeetu, Balali and
Vimal and has been exchanging the TAS billions into USD cash from banks and
bureaus in Tanzania and carries the stolen funds to Dubai and Mauritius on behalf of
Don and Capos. Has flown to Dubai over 40 times in the last two years with cash.
wanaJF, tunaweza kujiuliza kama kuna connection yoyote ya kumsilence Kubenea/Ndimara na yalitangazwa jana kuhusu ufisadi? Au ni mere coincidence!
Jee nyie mashushu wa sirikali mnao yasoma haya, mnachukuwa hatuwa gani? wewe jamaa wa kuzuia rushwa unafanya nini? yaani mnaiacha mijitu inakula pesa za umma huu, ambao watu wengi wanahangaika hata matibabu hawapati kwenye hospitali zetu, na nyie mmekaa mnakodolea mi macho tuu. Hivi jamani hao wanaotajwa hamuwajuwi? na hayo yanayosemwa hayachunguziki? mie nashangaa sana, jamani huu ufisadi uliyotukandamiza toka wakati wa nyerere mpaka wa leo tutaumaliza lini? mie nadhani hizi ni njama za system au hamjui system ni nini?