Penye red hapo,,naona na wewe mtoa mada unabahatisha tu,,huna uhakika.
Ndugu hata mimi hili huwa linanitesa sana lakini roho hizi za kutafuta ubaya na kuushupalia siyo roho zenye nia njema hata kidogoSijui kwanini tu wepesi sana kutafuta mabaya na mapungufu ya wenzetu...hata pale wanapopatia tunalazimisha kuonekane na mapungufu.
Jk ni mvivu kusoma ...
Akili za kuambiwa , changanya na za kwako.....What do you expect from an empty head?
Muanzisha huu kawaingiza chaka na nyie bila kufanya utafiti mmeingia mazima.Hhaah,
tabu ya Kuandikiwa HOTUBA na watoto wakina MAKAMBA unategemea nini?
Sidhani kama Mandela aliwahi kupewa Passport ya Tanzania (TZ), bali the then Tanganyika.Mkuu Nikupateje,
Ukikosea jambo unasema nimekosea na ndio uungwana.
Mandela alikuwa anaenda kwenye mkutano wa Pan-African Freedom Movement for East, Central and Southern Africa (PAFMECSA) ambao ulikuwa unafanyika Addis Ababa, Ethiopia mwezi wa pili, 1962. Hiyo disemba yako mzee Madiba alisharudi SA.
Argument yako ina make sense logically lakini haiko sahihi. Mandela alipewa passport ya TZ mwezi January 1962.
In fact Mandela alikamatwa SA tarehe 5 August 1962. kwahiyo hiyo Disemba unayoisema, mzee Madiba alikuwa ndani.
Tukiwa tunaendelea kuangalia funeral rites za Nelson Mandela, mliosikiliza hotuba ya JK ni kwamba kaeleza umati kwamba Mandela alifika Tanganyika kwa mara ya kwanza January 1962. Kwamba safari hiyo alikuja kisiri akipitia Mbeya na kuingia Tanganyika. Kisha akapewa passport ya Tanzania kusafiria.
Hapa ndipo tunaposema viongoziwetu hawapekui vitabu au documents au hata kukumbuka tu. Ukweli ni kwamba histroia haisemi hivyo. Historia inasema kwamba January 1962 ulikuwa ni mweiz mmoja tu tangu Tangayika ijitawale ikiwa na Prime Minister Nyerere. Tukio kuu la kihistoria ni kwamba Huo mwezi karibi wiki mbili zilitawaliwa na NEC ya TANU ambayo ilipomalizika Nyerere akajiuzulu u-Prime Minister na akamuachia Rashid Kawawa.
Gavana-General Richard Turnbull asingeweza kutoa passport Nelson Mandela kirahisi.
Ukweli kuhusu ujio wa Mandela ni kwamba alikuja hapa December 1962, yaani mwaka huohuo, na akawepo kushuhudia Tanganyika ikipata status ya Republic. Hapo ndipo angeweza kupata passport ya Tanganyika na ndicho kilichotokea.
Sikuweza kuamini JK alipokuwa anasoma zile tarehe mbele ya dunia nzima, kwa sababu mtu aliyechimubka historia ya Mandela kokote ilikoandikwa anajua wazi kwamba Mandela alikuja hapa December 1962.
Na hata Mandela kwenye kitabu chake alichoandika kiitwacho A LONG WALK TO FREEDOM, ISBN: 9780349106533, pg. 345: {..we arrived in Dar Es Salaam the next day and I met Julius Nyerere, the newly independent country's firss President..}
Hivyo, wakati ule asingemkuta Nyerere akiwa President, na wakati pekee alipokuwa President ni kuanzia December 09, 1962.
Tuwe tunasoma kabla ya kwenda public.
Ukweli kuhusu ujio wa Mandela ni kwamba alikuja hapa December 1962, yaani mwaka huohuo, na akawepo kushuhudia Tanganyika ikipata status ya Republic. Hapo ndipo angeweza kupata passport ya Tanganyika na ndicho kilichotokea.
Tuletee sources otherwise we count this information as "Fabricated History"Tetea vyovyote uwezavyo. Lakini hapa mwongo ama ni JK au Nelson Mandela, na wala si mleta mada ambaye ni mimi.
Akili za kuambiwa , changanya na za kwako.....
Hapa wewe ndio unaonekana empty headed zaidi kutokana na kuchangia kitu usichokijua....
Inawezekana macho yako hayasomi ninapokuambia kwamba source ni hii: {Nelson Mandela, Long Walk To Freedom, ISBN: 9780349106533, pg. 345}Tuletee sources otherwise we count this information as "Fabricated History"
Mkuu,
Nelson alikua anakwenda kwenye Mkutano wa Pan Africanists huko Adis Ababa, mkutano huo ulikua ni February 1962. Alipita Tanganyika mnamo January ya mwaka huo.
Kuhusu paspoti, kumbuka hakupewa kwa jina lake halisi bali alipewa kwa jina la bandia kama Mtangayika.
Vitu vingine vinatufanya tuonekane mazuzu, kwani rais huwa haipitii kwanza hotuba kabla ya kuisoma hadharani? Sasa washauri wake kazi zao ni nini?
Sa wewe unataka kutueleza nini? Mleta mada amekupa facts za kumfanya Mandela apate Pass ya Tanganyika na ukweli ni kwamba hasingeweza kuipata January 1962 kama alivyosoma JK. PERIOD
Tukiwa tunaendelea kuangalia funeral rites za Nelson Mandela, mliosikiliza hotuba ya JK ni kwamba kaeleza umati kwamba Mandela alifika Tanganyika kwa mara ya kwanza January 1962. Kwamba safari hiyo alikuja kisiri akipitia Mbeya na kuingia Tanganyika. Kisha akapewa passport ya Tanzania kusafiria.
Hapa ndipo tunaposema viongoziwetu hawapekui vitabu au documents au hata kukumbuka tu. Ukweli ni kwamba histroia haisemi hivyo. Historia inasema kwamba January 1962 ulikuwa ni mweiz mmoja tu tangu Tangayika ijitawale ikiwa na Prime Minister Nyerere. Tukio kuu la kihistoria ni kwamba Huo mwezi karibi wiki mbili zilitawaliwa na NEC ya TANU ambayo ilipomalizika Nyerere akajiuzulu u-Prime Minister na akamuachia Rashid Kawawa.
Gavana-General Richard Turnbull asingeweza kutoa passport Nelson Mandela kirahisi.
Ukweli kuhusu ujio wa Mandela ni kwamba alikuja hapa December 1962, yaani mwaka huohuo, na akawepo kushuhudia Tanganyika ikipata status ya Republic. Hapo ndipo angeweza kupata passport ya Tanganyika na ndicho kilichotokea.
Sikuweza kuamini JK alipokuwa anasoma zile tarehe mbele ya dunia nzima, kwa sababu mtu aliyechimubka historia ya Mandela kokote ilikoandikwa anajua wazi kwamba Mandela alikuja hapa December 1962.
Na hata Mandela kwenye kitabu chake alichoandika kiitwacho A LONG WALK TO FREEDOM, ISBN: 9780349106533, pg. 345: {..we arrived in Dar Es Salaam the next day and I met Julius Nyerere, the newly independent country's firss President..}
Hivyo, wakati ule asingemkuta Nyerere akiwa President, na wakati pekee alipokuwa President ni kuanzia December 09, 1962.
Tuwe tunasoma kabla ya kwenda public.