MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Inachekesha sana, yaani mtu kama humjui JK atakuchezea sana, kila siku atakuwaacha mdomo wazi. Haya bwana endeleeni kutega mikono...mkisubiri matunda yadondoke! Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutaka kufanya na kuwa na uwezo wa kufanya Vilevile kuna tofauti kubwa sana katika siasa kati ya kuwa ofisini na kuwa madarakani..akili ni nywele...
Nimemsikiliza, ameliongelea na anasisitiza kuwa ataanzisha mchakato wa jinsi ya kutengeneza sheria ya kulifanya litkelezeke. When? How soon? bado ni kitendawili!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutaka kufanya na kuwa na uwezo wa kufanya
Mh. Kitila Mkumbo.
Nakubaliana na wewe, lakini at least kwenye cheo kama cha Rais, huwa hafanyi, anaagiza!!!... mpaka pale tayari, sasa ofisi ya Marimo inatakiwa kuja na msimamo baadaye kwamba not feasible au mission has been accomplished!
In fact ingekuwa nchi makini, baada ya rais Kusema tungekuwa tunakula sahani moja na ofisi ya rais utawala bora! na mwanasheria mkuu!!!
Sasa sisi tuna-kaugonjwa kakudhani rais ndiye anayefanya mambo yote!!!
In short tuna matatizo ya kujua who is who!!! mifano iko mingi... unakuta tatizo la halimashauri... linapelekwa serikali kuu,,, tatizo la serikali kuu linapelekwa halimashauri bora kila kitu kimeparanganyika
Roya Roy,Wana JF,
Kuna kitu kimenishangaza katika hotuba hii ya Mkuu wa Kaya. Analalamikia watu ambao wengi amewateua yeye (ukiondoa nafasi za kuchaguliwa); then leo anazungumzia kuchanganya biashara na uongozi.
Mheshimiwa anataka tuamini kwamba alilazimishwa kuwateua kina EL, Karamagi, Daillo etc kuunda baraza lake la mawaziri? Kama aliona ni vibaya mtu kufanya biashara ukiwa kiongozi, alipowateua aliamini kwamba wataacha biashara zao?
Hata leo ana uhuru wa kuondokea mawaziri (na viongozi wengine) anaodhani wanachanganya interests(public/personal).
Rev. Kishoka,Kasheshe,
Kama Raisi angekuwa ni mchapa kazi na kuheshimika kwa wasaidizi wake kama Jakaya na si woga wa kuwa yeye ni Raisi, basi ungeona utekelezaji na ufanisi katika kila ngazi.
Tatizo ni hili; Rais Kikwete ni mbambaishaji na kila mtu analijua hilo ndio maana ulegelege, ugoigoi, uzembe na ufisadi uko kila kona!
If the president is weak, how do you expect his surbodinates to be effective?