Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
japo ninaandika kwa shida maana watu ni wengi na situlii sehemu moja lakini ukweli ni kwamba
jk hayupo mwanza, narudia hayupo mwanza.
japo shinikizo hilo lipo ila limetumwa.
Kuna wenzetu wameshachangia kwamba JK tayari yuko Mwanza.
Taarifa zilizopo ni kweli yupo hapa na ameshaonyeshwa matokeo yote na jinsi Masha alivyoanguka Nyamagana na jinsi Anthony Diallo alivyoanguka Ilemela.
JK hakubali dhana ya kupoteza majimbo yote mawili hapo Mwanza mjini. Hivyo ameamua kushinikiza aheri lipotee jimbo moja.
Taarifa ambazo zimeshaenea kwa kila mmoja hapa Mwanza ni kwamba anamshinikiza mkurugenzi wa uchaguzi amtangaze Masha kama mshindi na Diallo atajijua.
Kaeni mkao wa kulielewa na kulifanyia kazi hilo
japo ninaandika kwa shida maana watu ni wengi na situlii sehemu moja lakini ukweli ni kwamba
jk hayupo mwanza, narudia hayupo mwanza.
japo shinikizo hilo lipo ila limetumwa
Njia nyingine ya kulinda kura ingekuwa ni kutoa taarifa ya majumuisho ya kura zote za vituoni na kuzimwaga jamvini; lakini hii ya kuambizana Tarime Chadema wameshinda bila takwimu; kufikia Ijumaa inabidi watu wakapimwe stress au waombe likizo kwa ajili ya kujipumzisha manake waweza anguka ghafla na presha - inapanda inashuka!Kura zilindwe kwa mbinu zote kuzuia uchakachuaji
JK Yuko ndani ya MWanza kumuokoa Masha amienigiea leo asubuhi na Masha sasa sijui imekaaje hiyo
Arusha hapatoshi wanaimba balali hajafaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mambo hayo!