Elections 2010 JK ni mtu wa watu anajali hata walemavu

Elections 2010 JK ni mtu wa watu anajali hata walemavu

kibanda%20maiti.JPG


wizi_mayowe.jpg

Picha ni kwamba mwaka huu hapatosh.

Tofauti ya hizi ni kwamba 'wa kijani' wamepelekwa na mafuso, 'wa kwetu' wamekwenda wenyewe.
 
natamani pesa zilizonunua t-shirt na kofia zingetumika kununulia madawati kwa wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari!!!!! lkn sina uwezo kuamrisha zityumike hivyo @@@ NATAMANIIIIII WATOTO WANGEFURAHI LKNI SINA UWEZO HUO
 
natamani pesa zilizonunua t-shirt na kofia zingetumika kununulia madawati kwa wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari!!!!! Lkn sina uwezo kuamrisha zityumike hivyo @@@ natamaniiiiii watoto wangefurahi lkni sina uwezo huo

wewe umenena.
 
JK kawafunga watu goli la kisigino, naona wanaanza kutukana kama kawaida yao.

Good PR stunt!
 
SIMBA NA YANGA ...! lol


but on serious not..! MIKUTANO YA CCM HUWA INAHUDHURIWA SAANA NA WANAWAKE WENGI KULIKO WANAUME..!

WANAIPENDA SURA...hata kama wanachota maji kilometa 5 toka wanapoishi...
Hata kama wanalala watatu kitanda kimoja wakati wa kujifungua
hata kama infant mortality rate ipo juuuuu
hata kama wanafuata kumi mbaaaaaali

wao hawajali ili mradi SURA NI NZURI...!

Postzako huwa zinaniacha hoi mwanawane SW
 
JK kawafunga watu goli la kisigino, naona wanaanza kutukana kama kawaida yao.

Good PR stunt!

Hivi ni nani aliyewaambia nyie CCM kuwa kugombea urais ni sawa na kuuza voucher za tIGO! Yaani mabango yanayonyesha sura tu! Mbona hakuna hata picha huyo Bwana anaonekana akifanya kazi? Hamna picha akishirikana na wananchi kujenga vyumba vya madarasa, akilima shambani, akipanda miti (sio kwa kupiga magoti!). Yeye ni ku-smile throughout na kusalimiana - anafanya kazi saa ngapi? There is something very serious with this guy and all his advisors, including Salma and Riz-1.
 
jk-makete.jpg


jk kwa kweli ni mtu wa watu cheki hapo anakaa kwenye vumbi kuongea kwa unyenyekevu na mlemavu ni viongozi wachache sana wenye moyo wa kibinadamu kiasi hiki..

ni kweli ndio maana katika kuwaonea huruma wenye ulemavu wa ngozi kiako alichokiongoza kilipuuza maoni ya katibu wa ccm mkoa wa kigoma akinukuu taarifa ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa kigoma iliyowasilishwa na mkuu wa mkoa wa kigoma na kikampitisha mtuhumiwa wa mauaji ya alibino kugombea ubunge katika jimbo mojawapo huko kigoma; na yaye mwenyewe kujitanabaisha kuwa anaamini na kutumia imani za kishirikina katika utawala wake. Itakumbukwa kuwa utawala wake ndio ulioshhudia mauaji ya aina hiyo mendi zaidi na wapambe wake kama akina sheikh yahaya kutumia imani za kishirikina katika masuala ya uongozi wa kikwete.
 
Back
Top Bottom