Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natamani pesa zilizonunua t-shirt na kofia zingetumika kununulia madawati kwa wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari!!!!! Lkn sina uwezo kuamrisha zityumike hivyo @@@ natamaniiiiii watoto wangefurahi lkni sina uwezo huo
SIMBA NA YANGA ...! lol
but on serious not..! MIKUTANO YA CCM HUWA INAHUDHURIWA SAANA NA WANAWAKE WENGI KULIKO WANAUME..!
WANAIPENDA SURA...hata kama wanachota maji kilometa 5 toka wanapoishi...
Hata kama wanalala watatu kitanda kimoja wakati wa kujifungua
hata kama infant mortality rate ipo juuuuu
hata kama wanafuata kumi mbaaaaaali
wao hawajali ili mradi SURA NI NZURI...!
JK kawafunga watu goli la kisigino, naona wanaanza kutukana kama kawaida yao.
Good PR stunt!
![]()
jk kwa kweli ni mtu wa watu cheki hapo anakaa kwenye vumbi kuongea kwa unyenyekevu na mlemavu ni viongozi wachache sana wenye moyo wa kibinadamu kiasi hiki..