JK ni mjinga kabisa Kuiba mabilioni inawezekana lakini Elimu ya bure ya mamilioni haiwezekani!!!! Kweli watanzania tu wajinga na wavivu wa kufikiri . Thanks God Mungu amenipa hekima sidanganywi na mwizi wa pesa ya UMMA.
Kama mtu afikirivyo ndivyo atakavyo kuwa!
Kuna msemo usemao"In the abundancy of water the fool is thirst"
Tatizo letu si umaskini,Tatizo letu ni wizi,ubadhirifu,ufisadi,kutokuwa na uongozi wenye ubunifu,kuendelea kutawaliwa na viongozi wasio na vision na kuendekeza uomba omba wakati hao tunaowaomba wanauona utajiri na fursa tulizo nazo!
Katika kauli za JK zinazonikera ni pamoja na jinsi anavyo zungumza kwa madaha kuhusu misaada kutoka nje"Wamarekani watatusaidia hiki,wamesema watatupa pesa za kile....wameshatupa vitabu....nk...nk!
Kama tungebadilishiwa sisi twende Rwanda na wao waje hapa kwa miaka mitano.....nchi hii tunayosema ni maskini,isiyoweza lolote hata kugharamia elimu na afya ya watu wake ingetustaajabisha!
Kwa mfano.Ni mabilioni mangapi tunapoteza kwa kutosimamia vizuri uvuvi,Utalii wetu,madini,mazao pori,rasilimali watu,ardhi nzuri inayofaa kwa kilimo?
Ni ajabu kabisa.Tuna maji mengi kuliko 1/3 ya afrika ukiichanganya...yet hatujitoshelezi kwa chakula...Huduma ya maji safi na salama mijini haifikii asilimia 50!
Ama kweli "Katikati ya utajiri wa maji mpumbafu ana kiu!"
Tafakari......Chukua hatua october 31,2010