Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Wakati JK anapigwa mawe na watu waliomchagua, Tazameni mwenzie Obama leo St Louis amabako umati wa watu LAKI MOJA walikuwa wanamsikiliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi turudi kweye drawing board
Hapana. Mwanzo wake JK haukuwa kama wa Obama. Obama unajua anasimama wapi. JK aliwalaghai Watanzania kwa lugha rahisi rahisi ya maisha bora kwa kila Mtanzania kwa kasi mpya ari mpya etc.Lakini kumbukeni hata JK alianza hiv hiv. Tusubiri tuonae
Hapana. Mwanzo wake JK haukuwa kama wa Obama. Obama unajua anasimama wapi. JK aliwalaghai Watanzania kwa lugha rahisi rahisi ya maisha bora kwa kila Mtanzania kwa kasi mpya ari mpya etc.
Hapana. Mwanzo wake JK haukuwa kama wa Obama. Obama unajua anasimama wapi. JK aliwalaghai Watanzania kwa lugha rahisi rahisi ya maisha bora kwa kila Mtanzania kwa kasi mpya ari mpya etc.
Kama ni kukusanya watu tu, hiyo sio issue. Hata yeye aliwapagawisha watanzania zaidi ya hata Obama leo. Alikuwa akipita sehemu watu wanaacha kila kitu wanaenda kumsikiiza. Wakati huo ulikuwa ukimpinga JK unaonekana mchawi, kama ambavyo leo hii unahitaji ujasiri wa mwenda wazimu kumkosoa Obama!!
Bahati mbaya JK hana drawing board , yeye alidhani kuwa kiongozi wa nchi ni lelemama, hivyo hakujali ni namna gani anaingia madarakani. Matokeo yake sasa hao waliombeba kumuingiza madarakani kumbe ni mafisadi na hana jinsi ya kuwashughulikia. Atatusaidia sana Watanzania akiamua kuachia ngazi sasa hivi na wala asisubiri 2010.
Bahati mbaya JK hana drawing board , yeye alidhani kuwa kiongozi wa nchi ni lelemama, hivyo hakujali ni namna gani anaingia madarakani. Matokeo yake sasa hao waliombeba kumuingiza madarakani kumbe ni mafisadi na hana jinsi ya kuwashughulikia. Atatusaidia sana Watanzania akiamua kuachia ngazi sasa hivi na wala asisubiri 2010.
Kama ni kukusanya watu tu, hiyo sio issue. Hata yeye aliwapagawisha watanzania zaidi ya hata Obama leo. Alikuwa akipita sehemu watu wanaacha kila kitu wanaenda kumsikiiza. Wakati huo ulikuwa ukimpinga JK unaonekana mchawi, kama ambavyo leo hii unahitaji ujasiri wa mwenda wazimu kumkosoa Obama!!
Lakini kumbukeni hata JK alianza hiv hiv. Tusubiri tuonae
Kweli,inaonekana alikuwa na strategy ya kuingia madarakanbi tu. Alitumia miaka kumi akijiandaa kuingia madarakani.Lakinim inavyoonekana, hakuwa na strategy ta jinsi ya kuongozi akishaingia madarakani
Wakati JK anapigwa mawe na watu waliomchagua, Tazameni mwenzie Obama leo St Louis amabako umati wa watu LAKI MOJA walikuwa wanamsikiliza
![]()
![]()