Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BILILA LODGE KEMPINSKI
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Pumzika mkuu wetu nchi haina tatizo kabisa hii
Nahisi kama heading inahitaji editing maana haiendani na hali halisi. Nijuavyo mm unapata haki ya kupumzika baada ya kufanya kazi, huyu anapumzika kwa kazi ipi aliyoifanya jamani? Katika matatizo makubwa yanayotusumbua kwa sasa hakuna hata moja alilosolve zaidi ya safari zisizoisha so huko kupumzika ni kutokana na uchovu wa safari au?
Nawapa tu taarifa kwamba Mh Rais yuko Bilila Lodge mapumziko tokea jana.
Tumtakie mapumziko mema Raisi wetu ili arudi akiwa na nguvu mpya ya kulitumikia TAIFA LETU.
Nawakilisha.
hii hotel c ndo ile ambayo ni maarufu sana duniani.
Hapo ni kwamba mkuu ameenda ku consume his own goods, kwa wale wa uchumi nazani mnaelewa.
1. Mmiliki wa hii hotel amemegewa kipande cha hifadhi ya serengeti na anakimiliki kwa muda wa miaka 99. Wajukuu wetu ndo watakao kuwepo wakati mkataba unaisha
2. Ana falu wake mwenyewe na sasa ana plani kujenga uwanja wake wa ndege wa kimataifa, si kwa faida ya taifa, no ni kwa faida yake.
3. Ana jeshi lake la kulinda hifadhi yake, c maanish kk guard
4. Hii hotel ndo ile ambayo wana wadharau watanzania kupita kiasi, mtakumbuka ni katika hii hotel kamati ya bunge ya mahesabu ya selikari inayo ongozwa na mh cheyo walizuiwa kuingia ndani ya hotel hii kisa mmiliki yuko bise.
5. Ni katika hii hotel na hifadhi yake mtoto mdogo ilikamatwa ameingia kwenye hii hifadhi na kuhukumiwa miaka
6. Ni katika hii hotel na hifadhi yake maaskari wake hufanya msako wa nyumba kwa nyumba kufunua masufuria jikoni ili kutafuta walio pika nyama ya polini
so mkuu hapo ameenda kujiongezea mapato tu ananunua bidhaa anazo zalisha mwenyewe
Sijui rate full board ni kiasi gani kwa siku - nijue kama na mimi nikisevu kwa miaka mitatu nitaweza kupumzika hapo na mwenzangu angalau kwa siku 3!