Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Watoto wa shule wakiwa kando kando ya barabara kumsubiri mgombea urais kwa tiketi ya CCM JK kwa muda huu walitakiwa wawepo darasani kujisomea na kufuta adui namba moja Ujinga nchini.
Hawa ndo wanamsubili JK kumlaki katika mji wa Ilula wilaya ya Kilolo jimbo la waziri wa Elimu ya juu Prof. Msola
Huyu sijui ni Ticha wa hawa watoto au ndo kigogo wa CCM haijaweza kujulikana.
Hata wa sekondari nao wapo wanamsubili JK
Wanafunzi walio lazimishwa kutoka madarasani kuja kumlaki JK wakipiga soga