Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani hivi hii Nchi inaelekea wapi jamani!!! yaani watoto wetu badala ya kukaa darasani kusoma wanapangishwa foleni kumpokea JK kweli hii siyo haki :mad2::mad2:
Kwanza darasa la nne karibu wanafanya mtihani wao wa taifa halikadhalka form four nao wanakaribia kuanza mitihani ya kumaliza sasa huo muda wanaopoteza barabarani kumsubiri Jk aje kuwahaidi ahadi hewa siwangekuwa nanajisomea na kukumbushana maswali mawili matatu???
Naomba Jaji Makame utuafafanulie kuhusu hili jambo kwa kweli kama TUME YAKO IMERIDHISHWA NA WATOTO WETU KUTOLEWA DARASANI KUMPOKEA JK? na kama hili jambo linakubalika basi liwe kwa VIONGOZI WOTE WANAOGOMBEA URAIS SIO UPANDE MMOJA NDIO UFANYIWE HIVYO alafu tuone kama Elimu yetu itapanda ama kushuka
Eee, kweli mmechoka ka jk wenu, enzi za Mwalimu kulikuwa na sanlug ya mchina? Kulikuwa na yeboyebo? Kulikuwa na sura za kupoteza matumaini kama tunazoziona hapo? Hao green guard wamebeba sura ya nani hapo kwenye vifua vyao? Mjukuu wangu namuona hapo kaenda kwa kulazimishwa tu na alizaliwa miaka 5 baada ya Nyerere kututoka. Polee!!!Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.
Hao ndo ccm bwana,wanashindwa hata kujua kwa nini elimu inashuka kiwango,wamezifanya shule za kata kama nyenzo za kutimiza utashi wao kisiasa na ndo maana hao madenti wa sekondary hapo ni kutoka kwenye kata,mbona hatuwaoni wale wa st.nanihii? Huo ni utumwa waari,kasi na guvu zaidi.Kama huoni Ubaya wa Watoto kukatishwa vipindi vyao ili wakampokee Mgombea Urais, nadhani wewe ndiwe Lofa
Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.
Hao ndo ccm bwana,wanashindwa hata kujua kwa nini elimu inashuka kiwango,wamezifanya shule za kata kama nyenzo za kutimiza utashi wao kisiasa na ndo maana hao madenti wa sekondary hapo ni kutoka kwenye kata,mbona hatuwaoni wale wa st.nanihii? Huo ni utumwa waari,kasi na guvu zaidi.