mhhhh wanafunzi hao wa shule za msingi ni kuwaghiribu maana hawana maamuzi
Tayari wameshaanza kuchukia huoni mwenye koti la pink,,,LOL! inasikitisha sikujua kama bado kuna hiki kitu cha kumlaki kiongozi kwa kujipanga barabarani!Hawa wadogo wataichukia CCM milele
Watoto wa shule wakiwa kando kando ya barabara kumsubiri mgombea urais kwa tiketi ya CCM JK kwa muda huu walitakiwa wawepo darasani kujisomea na kufuta adui namba moja Ujinga nchini.
Hawa ndo wanamsubili JK kumlaki katika mji wa Ilula wilaya ya Kilolo jimbo la waziri wa Elimu ya juu Prof. Msola
Huyu sijui ni Ticha wa hawa watoto au ndo kigogo wa CCM haijaweza kujulikana.
Hata wa sekondari nao wapo wanamsubili JK
Wanafunzi walio lazimishwa kutoka madarasani kuja kumlaki JK wakipiga soga
Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.
Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.
Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.