Elections 2010 JK ziarani Iringa watoto wa shule watolewa madarasani kumlaki


mkuu, haya ya kupanga watoto barabarani hayajaanza leo na yamekuwepo tokea nyerere akiwa kijana, kwahiyo naona kama kumlaumu tunaelekea wapi ni kama sielewi kidogo

Nakuuunga mkono kwamba this has to be stopped and tume ya uchaguzi needs to make a statement... lakini je, hata wasipoitwa, inawezekana kweli kwa mtoto mdogo kubaki darasani wakati anasikia rais wake tena anayemuona kwenye tv na picha nyingi kila mtaa hadi makaburini anapita just a few steps away??

waalimu wenyewe wanaweza kuwa kwa kwanza kujipanga barabarani
 
Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.
Eee, kweli mmechoka ka jk wenu, enzi za Mwalimu kulikuwa na sanlug ya mchina? Kulikuwa na yeboyebo? Kulikuwa na sura za kupoteza matumaini kama tunazoziona hapo? Hao green guard wamebeba sura ya nani hapo kwenye vifua vyao? Mjukuu wangu namuona hapo kaenda kwa kulazimishwa tu na alizaliwa miaka 5 baada ya Nyerere kututoka. Polee!!!
 
Kama huoni Ubaya wa Watoto kukatishwa vipindi vyao ili wakampokee Mgombea Urais, nadhani wewe ndiwe Lofa
Hao ndo ccm bwana,wanashindwa hata kujua kwa nini elimu inashuka kiwango,wamezifanya shule za kata kama nyenzo za kutimiza utashi wao kisiasa na ndo maana hao madenti wa sekondary hapo ni kutoka kwenye kata,mbona hatuwaoni wale wa st.nanihii? Huo ni utumwa waari,kasi na guvu zaidi.
 
Kaka hizi picha ni za enzi zile za mwalimu Kambarage ,kwani mimi najiona pale nimesimama chini ya ukuta tukimsubiri Nyerere apite na kweli alipita hata bila ya kutusalimia wakati tulikuwa tunamsubiri toka asubuhi.

Enzi za Nyerere Kulikuwa na pikipiki za toyo na viatu vya yeboyebo????????
Wewe ni boya kiduanzi!
 
maskini kikwete. umeishiwa wasikilizaji wa mikutano yako kiasi hiki?
 



na bado RizWan hajaenda huko na FesTi Lady naye bado...watapanga sana misitari na vumbi watakula.......
dis iS unfair indeed....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…