mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Ziweke tuzione sisi ambao hatujazionaSasa mbona wakenya wengi wanasifia sana barabara za Tz na kuponda barabara zenu mara sijui zimejaa ma pot holu 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziweke tuzione sisi ambao hatujazionaSasa mbona wakenya wengi wanasifia sana barabara za Tz na kuponda barabara zenu mara sijui zimejaa ma pot holu 😂😂😂
Kenya Uchumi unamilikiwa na raia wachache na wengi ni wazungu alafu unapiga kifua uchumi mkubwa acha hizo wape chakula wenye njaa kwanza 😁Unajisifia una uchumi mkubwa wakati hauwasaidii hata kidogo, kila mwaka mnaomba kupewa misaada ya chakula,
High rate of unemployment,
Mmetelekeza baadhi ya counties,
Huduma mbovu za kijamii,
Huduma mbovu za public transport,
Maisha magumu.
😂😂😂Kenya Uchumi unamilikiwa na raia wachache na wengi ni wazungu alafu unapiga kifua uchumi mkubwa acha hizo wape chakula wenye njaa kwanza 😁
Mungu anakuona Wewe Mchina mambo uliyomfanyia jirani yetu si mazuri .inadidimiza chumi za East Africal lakini 🙌Hahahahahaha,
Ya kwenu sio kwamba ni expensive bali ni kuwa mlipigwa pesa sio mchezo,
Yaani mchina aliwapapasa balaal hadi huruma [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1219152
Inauma but itabidi wazoee 😂😂😂Mungu anakuona Wewe Mchina mambo uliyomfanyia jirani yetu si mazuri .inadidimiza chumi za East Africa 🙌
Vichwa vigumu hawa 😂Mbona hamna provision ya BRT! Baadae muanze kutafuta makopo ya rangi na kuchora "Only BRT" na kuleta siasa.
Aliyetaja mambo ya kusimama nani, ila hata hilo la kusimama pia ni kero maana mlivyo wachafu uvundo wa shombo humo balaa na joto la Dar, ila kero za mwendo kasi ni nyingi sana, kwanza kabisa mabasi yenyewe yameegeshwa mengi kwa matatizo mbali mbali, yanaayotumika ni machache, inachangia watu kusongamana bila usafiri, watu wanakaa stendi masaa yaani yanapita yamejaa unapoteza hata masaa matatu haliji.
Mimi nimewahi kutoka kwenye stendi na kwenda kutafuta usafiri mwengine licha ya kulipia tiketi, kuna kero nyingi tu, daladala zilifaa ziruhusiwe kuendelea kuwabeba maelfu ya abiria. Mfumo wa BRT ulifaa mataifa yaliyostaarabika na yenye miundo mbinu sio shitholes za umaskini ndani ya LDC.
Haya hadi watu wanaingilia dirishani, ndio upumbavu kupita maelezo
![]()
For your information Kenya has the money to do it, but unlike you we are a democracy and the voices of all people need to be heard including the owners of matatus (Yeah this happens in democratic countries). Also we are not just planning for a BRT it also includes the Nairobi commuter rail network (Which is being constructed now), to avoid the situation that you people have of overcrowding and bedbugs in buses.
In short our buses will be a complement to the commuter railway(last mile connection) and not the main means. This coupled with the fact that we are a democracy is why we are taking our time. This is the standard model across the world, buses act as a last mile connection for commuter trains.
Trains alone will transport 1.6 million people a day in Nairobi once renovations and refurbishment of the commuter rail is complete.
Now can you compare that to your haphazardly done buckets of disease?
Tuta ×2Barabara kama hii inajengwa Dodoma tena itakua na zaidi ya 100 kilometres, itakua na flyovers zaidi ya 5 za kueleweka, ni outer ring road yenye 4 lanes.
Tulizinduax2Tuta ×2
Tuki×2
Ita×2
Tuta,tuki wimbo unaendelea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We kadanganye watanzania wenzako eti time ndo kila kitu siku izi. Bruh siku izi its all about efficiency and sustainability.China class 1 at a speed of 110km/hr!! Mbona mnakua wajinga sana. Katika dunia ya leo time ni kila kitu mlikubali vipi kujengewa rail inayo ruhusu speed ndogo kiasi hicho. Mbaya zaidi ni ya diesel na imejengwa kwa inflated costs! Nyie endeleeni kujidanganya na huo ujinga wa class 1, wakina Kagame na M7 wanawaona malofa tu. Kagame amewakataa tayari, M7 hataki train ya diesel. Hiyo advantage mliyo nayo kuwa karibu na Kampala inaondolewa na tofauti ya speed ya reli yetu. Mchina hivi alivyo kataa kuwapa mkopo kuna siku tutakuja sikia vitu vya kushtua na msiamini kama kwenye oil pipe line.
Reasoning ya mtu mpumbavuKenya Uchumi unamilikiwa na raia wachache na wengi ni wazungu alafu unapiga kifua uchumi mkubwa acha hizo wape chakula wenye njaa kwanza 😁
Pumba tupu! Una compare vitu ambavyo haviendaniWe kadanganye watanzania wenzako eti time ndo kila kitu siku izi. Bruh siku izi its all about efficiency and sustainability.
Concorde the fastest passenger jet in the world flying 2× the speed of sound iliekwa retirement mwaka wa 2003 because it wasnt efficient and sustainable enough. The tickets cost were too high and any effort to make it sustainable would simply fail sababu ya mafuta mingi na high maintenance cost. Most airline companies could not afford to buy and use it in their fleet. Ingewafanya unprofitable. Ata Airbus A380 being amongst the fastest airliners in the world, Airbus wamesema watakoma kuproduce new ones sababu haziko sustainable. Airline companies zmerukia medium range jets i.e. 787, a350, 777 etc.. ambazo ni twin engines na ziko efficient kimafuta na pia nauli. And this new jets are actually slower than the jumbos kama a380 & 747's. 'AIRLINES ARE SACRIFICING SPEED FOR EFFICIENCY AND SUSTAINABILITY'
So Kenya made a very sober decision kutumia diesel trains. Reli yetu ni ya mainly freight na kutumia stima ambayo ata miundombinu hatujaweka in place was simply out of the question. Diesel trains were the best option na according to mimi i see no problem, we will upgrade in future when we have adequate infrastructure in place. Hatutaki situation kama ya Ethiopia eti train inakwama siku nzima. Ata kule America na Uchina wanatumia diesel electric trains kusafirisha freight across the vast country side. Kutumia stima kule is simply not sustainable & so is here
Kweli ukitaka kuona magari ya maana nenda Jozi utafrahi...kule Ni vw, bmw, mercedes, RR unlike apa Dar Ni Toyota ndio nyingi....utashangaa mtu anasema Nairobi kuna gari nyingi Au dar sasa ukifika Johannesburg siutaliaReasoning ya mtu mpumbavu
View attachment 1220510
Hii hapa ndio order kwa wealth and status. Afu hizo gari unataja zipo hata hapa Kenya.Kweli ukitaka kuona magari ya maana nenda Jozi utafrahi...kule Ni vw, bmw, mercedes, RR unlike apa Dar Ni Toyota ndio nyingi....utashangaa mtu anasema Nairobi kuna gari nyingi Au dar sasa ukifika Johannesburg siutalia