Ibn Massood
Senior Member
- May 7, 2012
- 153
- 372
Hapa umenena mkuu
Unaweza kuta upande wapili hawaelewi nini serikali imeamuaMimi siwaelewi kabisa. Hivi hawa vijana siwanatakiwa kwenda vyuo mwezi wa kumi? Au inakuaje hapo? Bora wangesema mapema kwamba kidato cha 6 wanapumzika mwaka hili kwenda JKT kuliko kuwagawa vijana namna hii.
Ngoja tuone wanasemaje wahusika.
kidumu chama cha kijani?
dar es salaam raida secondary school s2673-0509 ally abdallah ally mnaomba uniangalizie majina haya
1.happiness marco
2.ally a ally
sidhani kama atakuelewa.Upo chuo gani mkuu...?...read between lines you will understand what i mean.
sidhani kama atakuelewa.
Kama maelezo yao hayajitoshelez JKT tupeni kule madogo
Yah kuna watu hawajachaguliwa,eg.kuna rafiki yangu jina lake sijaliona kambi zote walizotoa
dar es salaam raida secondary school s2673-0509 ally abdallah ally m
kwenda bulombora kigoma
s0754-0516 happiness marco
kwenda kanembwa jkt - kibondo
dar es salaam raida secondary school s2673-0509 ally abdallah ally m
kwenda bulombora kigoma
tutafanyaje sasa kaka! itabid uvumilie kuwa mtanzania