JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

Habari wana jf,

Nashikwa na wasiwasi kuona majina ya wanafunz ambao wameshachaguliwa kujiunga na vyuo vikuu kutangazwa katika website ya jeshi ilihali ya kuwa wapo tayari wanafunz wengine wameshaanza masomo kama chuo cha st.agaustine(sauti).

Pili nimegundua kuwa kuna majina ya wanafunzi yamekosekana yaan hayapo kwa mfano mim mwenyewe jina langu halipo na wakati ilibidi nihudhurie mafunzo hayo ya mujibu wa sheria awamu ya tatu.

Tatu nimeshangaa sana kuona majina ya wanafunzi wa shule ya benjamini yakiwepo katika orodha ya wanafunzi watakaoenda jeshi tarehe 28sept mwaka huu wakati wao walishahudhuria mafunzo hayo na nikimnukuu msemaji wa jeshi alitangaza kuwa wanafunz yoyote atakaye hudhuria mafunzo hayo hawez kurudia tena sasa swali je hayo majina walikusudia au?

Huu ni udhaifu wa hali ya juu huku ukizingatia taasisi kama hizi yaan tcu na jeshi zinashindwa kuzungumza na kutoka na tamko moja la jeshi au chuo kwanza.

Nahitimisha kwa kusema kwa hali hii serikali ya ccm ijipange ma
 
Mi jina langu halipo sasa kama kweli hawatanweka na wengine muende moja kwa moja naenda kujiunga na Alshabaab nimechoka.
 
vp cc ambao hatujasomea tz,tuliambiwa hatuhuck,tutapewa utaratibu tukiripot vyuon
 
Nimesikitika sana kaka yenu sio kwa taarifa hii mpya tu, ni kuanzia tu niliposikia kuwa vijana wanaomaliza form 6 wataenda jeshini kabla ya kujiunga na vyuo, kwasababu nilitambua kuwa saikolojia ya jeshi iko tofauti sana na kada nyingine ambazo baadhi ya vijana wataenda kuzitunikia baada ya kuhitimu masomo yao. Kwani kuna uwezekano mkubwa wa mafunzo na saikolojia ya jeshi kutumiwa ktk mazingira yasiyostahili mf. Jana nilikuwa kwa mama muuza chakula niliagiza chakula wakati naletewa kruta mmoja akamnyang'anya yule mama sahan ya chakula akakaa na kuanza kula bila aibu.
Lakini kwa sababu inaitwa kwa mujibu wa sheria kwa nafasi yangu sina uwezo wa kutengua badala yake nashauri kwamba VIJANA WAACHE WAKOMAE NA KITABU KWANI KUSOMA NI HAKI YAO YA MSINGI.

Usiogope kufa ila ogopa kufa bila maandalizi thabiti ya makazi yako kesho akhera.
 
Back
Top Bottom