JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

Mdau nimekusoma ikabidi nicheke sana ila si kwa kudharau uchungu ulio nao ila kwa analysis ulioifanya inaonesha coordination ya mambo nchini kwetu imekatika somewhere!ndio maana ulisikia waziri wa sheria akisema hakuna kubadili katiba wakati mkuu wake anasema katiba mpya lazima.Hizi ni matokeo ya nchi kutotawalika,kila mtu anacommand kutokea alipo bila kujali mwenzie kacommand nini!!tuombe sana katika wakati kuna vaccum ya uongozi namna hii tusipate majanga kama wenzetu itakuwa kichekesho!
 
Kuna mtu aliwahi kusema inawezekana hata waziri wa elimu hajui kinachoendelea hapa ni wakugomea tu hao jkt maana nchi hii bila migomo haiendi.
 
naomba unichekie jamhuri high schl-dodoma ; stanslaus joseph; athuman tagalala;nicholaus karaze; pia chek issa omary another schl!
 
Tumechagua kuwekeza kwenye majeshi baadala ya elimu, hii aibu kwa serikali kushindwa kuongoza haiwezekani kila taasisi iwe na maamuzi pasipo kuhusisha nyingine, imagine mzazi unajikakamua unampeleka mtoto wako chuo tena kwa gharama kubwa halafu wanahitajika tena jkt kwanini wizara ya elimu haikutoa taarifa mapema ili vijana wasiende vyuoni kwa hili serikali imetia aibu.
 
Tumechagua kuwekeza kwenye majeshi baadala ya elimu, hii aibu kwa serikali kushindwa kuongoza haiwezekani kila taasisi iwe na maamuzi pasipo kuhusisha nyingine, imagine mzazi unajikakamua unampeleka mtoto wako chuo tena kwa gharama kubwa halafu wanahitajika tena jkt kwanini wizara ya elimu haikutoa taarifa mapema ili vijana wasiende vyuoni kwa hili serikali imetia aibu.
 
...jamani wanajf tafadhalini naomba mnichekie madogo hawa:
Joel A.Mwakapina na
Shomari Mbwagai.
 
Tumechagua kuwekeza kwenye majeshi
baadala ya elimu, hii aibu kwa serikali
kushindwa kuongoza haiwezekani kila
taasisi iwe na maamuzi pasipo kuhusisha
nyingine, imagine mzazi unajikakamua
unampeleka mtoto wako chuo tena kwa
gharama kubwa halafu wanahitajika tena
jkt kwanini wizara ya elimu haikutoa
taarifa mapema ili vijana wasiende vyuoni
kwa hili serikali imetia aibu.
 
Tumechagua kuwekeza kwenye majeshi
baadala ya elimu, hii aibu kwa serikali
kushindwa kuongoza haiwezekani kila
taasisi iwe na maamuzi pasipo kuhusisha
nyingine, imagine mzazi unajikakamua
unampeleka mtoto wako chuo tena kwa
gharama kubwa halafu wanahitajika tena
jkt kwanini wizara ya elimu haikutoa
taarifa mapema ili vijana wasiende vyuoni
kwa hili serikali imetia aibu.
 
...jamani wanajf tafadhalini naomba mnichekie madogo hawa:
Joel A.Mwakapina na
Shomari Mbwagai.
 
ebu cheki na hii ya mwisho S0686/0554 natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…