JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013


Mi nahisi ndo Michakato ya Big results now...
 
Yah, asante mwana jamvi...watz wengi tunakuwa wavivu hadi kumeza ndizi hadi ushikiliwe koo?
 
mbona mwanimixxxxx.... embu nifafanulieni.. kwamba mwaka huu vijana hawaendi chuo au?
 

na ijipange kwelikweli.
 
Jkt imetoa orodha ya watakaojiunga na jkt awamu ya tatu najua wengi imewachanganya kwan wengne mpo vyuon ila mi nawasih nenden jkt ni kutamu sana kwa watakaoenda maramba tuwasiliane maana nlkuwa huko
 
Ili jambo limenikumbusha sana civics ya 4m4. One among the causes of poverty is "Poor gvt planning" and by this issue the ccm gvt has proved its poorness!
 
Ni u nge se huu kaz ku2mia nguv nyng akili kdogo, hyo tareh 28 kam unaend nend mwnyw nyny w 3rd selectn tcu, me taraaaaatibu chuo , hta hvy co lazma niajiriwe selikaln hat prvte sector ,hv wanafkr kuwplek w2 jsh ndo kuwatshnd ccm ujnga w hal y juu kabxa huu mavi yenu
 
umeongea point sana hapa ni mgomo mwanzo mwisho
Kuna vitu vingne si vya kugoma,ulishataarifiwa mwanzo kabisa kuwa kutakuwa na jkt awam ya tatu,Ndugu yangu hulazimishwi kwenda ukigoma wanajua wao watakubana wap,kwa sasa kuwen wapore (MTU MUUNGWANA AKIVULIWA NGUO GHAFLA KWA WATU CHA KWANZA HUCHUCHUMAA CHIN)mkitoa povu midomon huku jukwaan haisaidii lolote nenda ukajazwe uzalendo mambo yote yatakuwa pouwaaaaa tu!
 
Yan unajishaur kugoma mm cku nyngn xna nmeshafany maamuz wazee hata cwaambii kam kun kwnd jshi itafaamka mbl y safar wa nge se kwl hawa
 
Watoto wakihindi sioni majina yao,kwenye mambo mengine wao niwatanzania ikija ulinzi wao si wenzetu
 

Acha kupagawisha watu kijana,,,ilo tagazo linasema vijana waliomaliza kidato cha sita wanatakiwa kuripoti,,tarehe 24 june 2013,,,sasa leo tarehe ngapi?kuwa makini na thread zako.
 
Acha kupagawisha watu kijana,,,ilo tagazo linasema vijana waliomaliza kidato cha sita wanatakiwa kuripoti,,tarehe 24 june 2013,,,sasa leo tarehe ngapi?kuwa makini na thread zako.

Vipi kuhusu hao ambao tayari wameona majina yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…