Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Weweeee NImekutana na wenzangu sasa
Nilikuwa K833 JKT Oljoro a.k.a kambi ya mawe.
nakumbuka sana rollcall moja ya siku za kwanza kwanza ambako afande mmoja kwa jina aliitwa Kichele akiita majina alifikia jina la mmoja wetu aliyeitwa Maiko. Yeye afande akaita Michaeli, Akarudia mara tatu Michaeli hakuna liyeitika. Mwishoni kabisa akabaki mmoja ambaye hajaitwa jina. Akaambiwa aangalie jina lake kwenye orodha ya makuruta akaonyesha lile Michael. Afande akamuuliza wewe unaitwa nani. Akamwambia mimi ndiye huyu Maiko. Akamng'akia UNA AKILI KWELI WEWE. MIMI NI WAPI NIMETAJA MAIKO? NINAMTAKA MICHAELI. Ahaaa nyiye ndiyo mliokuja kutumikia majina ya watoto wa matajiri eeeh. Basi umeshindwa. Nitakumaliza mimi!!!!!!!!
Kama si Sir Major kuja eneo la hangani ghafla: dogo angeipata fresh siku ile.
Moja mbili tatu moja
Nilikuwa K833 JKT Oljoro a.k.a kambi ya mawe.
nakumbuka sana rollcall moja ya siku za kwanza kwanza ambako afande mmoja kwa jina aliitwa Kichele akiita majina alifikia jina la mmoja wetu aliyeitwa Maiko. Yeye afande akaita Michaeli, Akarudia mara tatu Michaeli hakuna liyeitika. Mwishoni kabisa akabaki mmoja ambaye hajaitwa jina. Akaambiwa aangalie jina lake kwenye orodha ya makuruta akaonyesha lile Michael. Afande akamuuliza wewe unaitwa nani. Akamwambia mimi ndiye huyu Maiko. Akamng'akia UNA AKILI KWELI WEWE. MIMI NI WAPI NIMETAJA MAIKO? NINAMTAKA MICHAELI. Ahaaa nyiye ndiyo mliokuja kutumikia majina ya watoto wa matajiri eeeh. Basi umeshindwa. Nitakumaliza mimi!!!!!!!!
Kama si Sir Major kuja eneo la hangani ghafla: dogo angeipata fresh siku ile.
Moja mbili tatu moja