Kuna vitu ambavyo namuunga mkono Nyerere lakini hili lilitupotezea muda wa mwaka mzima kusota kwenye mitaro na yare "maafande".
Mkuu Mwenzangu kweli ulikwenda huko au? Mkuu mimi nilikwenda Oljoro, chini ya Mnauye, na baadaye Major Kahamsini, under Surgent Mwaligunga, chini ya Luteni Kitila, mkuu bila ya zile shuruba za kunywa uji wa chumvi, nisingeweza kupanda meli. Ninasikia uchungu kuwaona vijana wa kisasa ambao hawakwenda huko maana kuna something wana-misss kikubwa sana kwenye ku-excute ideas na malengo ya maisha yao, nikiwaangalia ninawonea huruma sana maana wale tulioenda tulipata direction, pamoja na discpline ya maisha, ukakamavu, uvumilivu, kuheshimu wenzako maana kule wote tulikuwa panya tu, hakuna cha mtoto wa nani wote tulikuwa sawa,
Kama kuna ninachokubaliana na Mwalimu, ambayo huwa ni machache sana, hili ni moja. Again, JKT was fun, maana some very expensive chiks kwenye real life kule walikuwa ni kawaida tu, and I surerly had fun, muziki wa bila gharama, oh no that was fun, mkuu hata tulipoambiwa kuwa inakaribia kwisha bado nilikuwa na hamu ya kuendelea angalau kidogo,
Mkuu MMJ, baada ya kusoma bure kuanzia Vidudu, Primary School, Secondary School, na High School, ilikuwa ni lazima somehow kulilipa taifa, kwa njia moja au nyingine, and I am proud kwamba I was able to do that, yaaani kulilipa taifa langu, ingawa most of the time nilikuwa kwenye timu ya soccer ya kikosi, lakini pia nililima sana mashamba kule karibu na tajiri Mollel, kwa hiyo mkuu kama hukwenda, ulikosa sana mkuuu!