[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamna wa kufirwa wapo zaidi ya wanafunzi mie wako nje ya geti, hapo nauliza logic ya jkt iko wapi? Kama amuezi kuheshimu maamuzi ya serikali.Ngoja wakafirwe
Mwambie arudi nyumbani haraka, huko hizo siku anazopoteza bora umlipie ada akasome VETA itamsaidia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamna wa kufirwa wapo zaidi ya wanafunzi mie wako nje ya geti, hapo nauliza logic ya jkt iko wapi? Kama amuezi kuheshimu maamuzi ya serikali.
Sheria zipo Ili zivunjwe.... period!!Jeshi haliendeshwi kisiasa km hyo serikali yenu ya kijiji, huku ni nidhamu tu, mwisho ulikuwa tar 11.06.2023.
Kwa taarifa yako ukitoka kigoma alfajiri na basi ya adventure utafika dodoma saa sit usiku, morogoro za 10 alfajiri Ruvu saa 11 alfajiri, hapo dereva hajaamua kulala popote ni non stop ni 1600km to dar gawanya kwa speed 80km per hour ya serikali kwali utafika hiyo siku?Kwa bus.Mara ya mwisho ulisafiri lini?
hapo ndo mafunzo yameanza tayariIna kera inakera kweli kweli wanafunzi wamesafiri kutoka mikaoni tangu jana ku report Jkt kwa mjibu wa sheria, wamefika alfajiri mna wakata eti wame chelewa mwisho ulikua jana saa sita usiku, nani asie jua usumbufu wa usafiri hapa nchini mtu atoke Geita una tegemea kufika Dar siku hiyo hiyo kweli?
Kama nafasi zomesha uzwa tuambieni watoto tuwatumie nauli warudi makwao kuliko kuka getini tangu alfajiri, hi nchi ina matatizo kweli kweli kila sehemu na hilo mpaka mtu ajuane na kiongozi wa juu ndo mwanae apokelewe viongozi ni wasumbufu bora wawekezaji weje tu.
Hizo ni sheria au kanuni, hao watu wanajipagia vitu visio kua na logic kabisaSheria zipo Ili zivunjwe.... period!!
kwaninin usubiri deadline, unaanza kumfundisha mwanao uzembeIna kera inakera kweli kweli wanafunzi wamesafiri kutoka mikaoni tangu jana ku report Jkt kwa mjibu wa sheria, wamefika alfajiri mna wakata eti wame chelewa mwisho ulikua jana saa sita usiku, nani asie jua usumbufu wa usafiri hapa nchini mtu atoke Geita una tegemea kufika Dar siku hiyo hiyo kweli?
Kama nafasi zomesha uzwa tuambieni watoto tuwatumie nauli warudi makwao kuliko kuka getini tangu alfajiri, hi nchi ina matatizo kweli kweli kila sehemu na hilo mpaka mtu ajuane na kiongozi wa juu ndo mwanae apokelewe viongozi ni wasumbufu bora wawekezaji weje tu.
tunapenda kucheza na deadlineKwanini usingempeleka siku moja kabla?
Watalegeza tu mpaka jioni ya Leo...vijana watapokelewa ondoa hofu...Hizo ni sheria au kanuni, hao watu wanajipagia vitu visio kua na logic kabisa
Mkuu unaposema udhalilishaji ni upi hasa ??Hata hivyo Wazazi shukuruni Mungu, rudisha mtoto wako nyumbani ntafutie chakufanya huenda ni Mungu anamuepusha na udhalilishaji waliokuwa wanaukana juzi tu hapa au vifo kbs, mambo mengine yakikataa kubali usibishane na nguvu usioiona. Pengine nayo imeuzwa mnajuaje?
Hii hoja yako ilinifanya nikaogopa kuichakata mbususu Moja,Hii si ndo kambi ya wagonjwa??
Kwani serikali ilituma fungu la maandalizi kwa wazazi, wakati wanajua ni wstoto wa masikini ndo wanao itikia huo wito wamateso kwa wstoto kwamjibu wa shariakwaninin usubiri deadline, unaanza kumfundisha mwanao uzembe
tunapenda kucheza na deadline
ungeomba wangekutumiaKwani serikali ilituma fungu la maandalizi kwa wazazi, wakati wanajua ni wstoto wa masikini ndo wanao itikia huo wito wamateso kwa wstoto kwamjibu wa sharia
Hizi hoja unazo zitoa zinafanana sura na huyo jamaa wa kwenye Avatar yako ππβΊοΈβΊοΈππππβΊοΈungeomba wangekutumia
Ndo yenyewe.Hii si ndo kambi ya wagonjwa??