Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa kuzaliwa ndani ya nchi ya mazero brain! Welcome to Kenya! Kuwa raia wa Kenya kama mzawa wa Afrika mashariki ni jambo rahisi sana. Kitambulisho chako tu, afu uwe tayari kuchapa kazi kweli kweli!Ukuta pekee ambao wakenya wameujenga nyuma ya muda ni uelewa.
Namuheshimu sana mtu anayejielewa. Hata usipomjengea ukuta, hatofanya kama kitu hakipendezi.
I wish ningekua citizen wa Kenya. Nisingekua hivi nilivyo
Hapo walikuwa wanajenga kwa uoga sana! Hakuna anayetamani kupigwa hadi kufa! 😀😀😀😀😀Expansion Joint zikianza ndio tutaelewana
wengine huandika "mirerani" wengine huandika "mererani" kama wewe ulivyo andika hapo juu.Mererani acha kujitoa ufahamu
Kwani Kilimanjaro na Serengeti yetu pia zipo ndani ya ukuta huo? Watz buana!Sasa ile tanzanite mliokuwa mnaiiba na kuandika made in kenya sasa wale mliokuwa mnawauzia nendeni mlima kenya mchukue jabali lolote mpasue na kuwapelekea. Zamani mlikuwa mnasema ni madini yenu tunauchuna tuu na kulalamika, mkasema mlima kilamanjaro tukawachunia tuu na kuendelea kulalamika, mkasema serengeti ni ya kwenu tukauchuna tuu na kulalamika. Sasa amekuja YOHOHANE MBATIZAJI anayebatiza kwa moto. Ni usawa wa kutenda sio kulalamika
Tanzania na Kenya ni nchi ipi Shithole? Kumbuka Kenya mlikubali kuitwa shithole!true....yaani ushithole umemjaa akilini
tanzania shitholeTanzania na Kenya ni nchi ipi Shithole? Kumbuka Kenya mlikubali kuitwa shithole!
We jamaa acha hizo .jamaa wamejenga ukuta sasa wanasherehekea na msosi, vinywaji, shangwe na nderemo....kidogo tu wanunue fireworks kisa ukuta...😀😀😀😀😀hii ndio huwa tunaita third world mentality
nawe umebenefit kivipi katika ujenzi wa ukuta uliojengwa kwenu??? point yangu ni punguzenu kusherehekea ujinga na mchape kazi...Sawa so we unafaidika nn huko
ukija Kenya, ukuta tu sio kipimo cha maendeleo...ila naona kwenu mtu akijenga ukuta mnatamani kufanya party😀😀😀fikira za kiafrika hizi...ndio maana waafrika hatufiki mahali tunadharauliwa kila uchaoWe jamaa acha hizo .
Ndio upeo unavyoona hivyo
mkikuyu akili timamu,Kazi kubwa ambayo Jeshi la kenya linafanya ni Kuiba na kuuza makaa ya Somalia. Tuseme ukweli hapa, Kila mara kwa mara unasikia kambi imeshambuliwa na alshabab kama wana jeshi wamevuta mablanketi waking'orota. Wakubwa wao nao kazi ni kupitisha sukari kwa boarder za somali wanaleta hapa kenya kuuza kwa bei ya kumvunja mkulima mkono. Juzi juzi tu walitaka kununua mindege mizee mizee yanaitwa "air tractors" kwa bei ya Morden Jet fighter kwa bahati nzuri wabunge wakakataa hilo
Kenya ndio uchumi unaoongoza east africa na central africa yote...hilo ndilo tume accomplishHii tangu Uhuru kaingia madarakani! Mmeshindwa mmeenda kuomba Israel! Ni nn mnaweza 55 years of Independence?
nilijua lazima utakuja ku-comment kwa jazba na hasira. karibu sana buda.
topic kama hizi zinahitaji sana opinion za watu wenye hasira kama nyinyi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
BTW,vipi kuhusu swali langu pale juu kwenye mada kuu?.
ur official Govt stand as shithole Kenyatanzania shithole
jengeni ukuta tu ni poa mkichunga rasilimali zenu...ila hii sio habari za kuleta mitandaoni na kujivunia vunia hapa kule kana kwamba ndio ukuta wa kwanza duniani...Sasa ile tanzanite mliokuwa mnaiiba na kuandika made in kenya sasa wale mliokuwa mnawauzia nendeni mlima kenya mchukue jabali lolote mpasue na kuwapelekea. Zamani mlikuwa mnasema ni madini yenu tunauchuna tuu na kulalamika, mkasema mlima kilamanjaro tukawachunia tuu na kuendelea kulalamika, mkasema serengeti ni ya kwenu tukauchuna tuu na kulalamika. Sasa amekuja YOHOHANE MBATIZAJI anayebatiza kwa moto. Ni usawa wa kutenda sio kulalamika
shithole ni sie wote...hata ukamwuliza Donald Trump atakuambia...afrika nzima incuding nyie hapo mnaosherehekea ujinga wa ukutaur official Govt stand as shithole Kenya
Kenya officially responds to Donald Trump's shithole remarks
Author: Rene Otinga
UPDATED: 29 DAYS AGO
Government Spokesman Erick Kiraithe said Kenya is not bothered with US President Donald Trump's recent condescending comments about African countries
- He said Kenya had "no problem" with the vulgar remarks which has raised a storm
- Several African countries have condemned Trump for the comments
- Kenya was recently allowed to have direct flights to the US after passing stringent security tests State House has finally broken its silence on the explosive comments made by US President Donald Trump in reference to Third world countries.
Government spokesman Eric Kirathie has set the record straight, regarding the issue, clafifying the the Kenyan government had no issue with the recent remarks by Donald Trump.
Read more: Kenya officially responds to Donald Trump's shithole remarks