JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

unalialia nini mugger.
zama za kenya na india kuwa largest exporter wa tanzanite zishafika kikomo.

from now on, the main tanzanite exporter is going to be tanzania.hakuna tanzanite itakayotoka nje ya mipaka ya tz kienyeji.
poleni sana wasee..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wait till tanzanite market price is manipulated to valueless worth ndio mtajua hamjui!
 
Sasa hao KDF wanaopigwa na AP,wana uwezo gani wa kufanya mambo kama hay
ed on: 1813, February 15, 2018 (EAT)


KDF soldiers in North Eastern File Photo
In Summary
  • Two soldiers of The Kenya Defense Forces (KDF) were killed on Wednesday by Border Patrol Unit officers who suspected them to be Al-Shabaab militants at Sheikh Barrow, Mandera County.
  • Deputy County Commissioner Charles Mbulishe confirmed the incident but declined to reveal the exact number of casulties.
  • Sources who spoke to Citizen Digitalindicate that 7 people were critically injured during the shootout.

o
 

Attachments

  • upload_2018-2-17_22-13-29.jpeg
    upload_2018-2-17_22-13-29.jpeg
    8.6 KB · Views: 29
Kazi ya KDF nimesema mara mingi hapa ni kutomba malaya, kuiba makaa ya somalia, kuagiza sukari bila kodi na kunywa pombe
Mwenye pingamizi ani eleze
 
The problem with your small brain is that you think linearly NASA/Jubilee. There is nothing like NASA, The next revolution after the country is bankrupt will be led by Kenyans from all sides, uthamaki will be kicked out by kikuyus, Bankrupcy is very near, eurobonds are now maturing, chinese loans are due very soon, EAC market is locking kenya out. We shall overthrow Jubilee and hang uhuru and his mother who is a witch
Ai
Kazi ya KDF nimesema mara mingi hapa ni kutomba malaya, kuiba makaa ya somalia, kuagiza sukari bila kodi na kunywa pombe
Mwenye pingamizi ani eleze
We have a rogue mental case in the house today.
 
Kuna haja gani ya kulinganisha na Kenya?
ni watani zetu hawa, lazima tujilinganishe nao

huoni vile wanavyopenda kujilinganisha na tz kila wanapofanikisha jambo fulani?.
 
Unalinganisha kitu ya 25km na kitu ya 700km ambayo inaentail vitu vingi kama border entry points na CCTV cameras? Kweli kilaza ni kilaza tu.....that's just a concrete wall nothing special
Hata ukuta ni special kwaajili ya kuzuia wezii, utakua na CCTV cameras na Security Wires za Umeme..
 
Shithole minds. Hawa JKT ndo wale vijana wa NYS au? Maanake sijaelewa kwanini wanafananishwa na KDF ambao kazi kama hizi huwa hawafanyi. KDF wanajenga kuta za defence kwenye nchi ya wenyewe, Somalia lakini sijasikia hata siku moja wakipiga ving'ora kwasababu ya vitu kama hivo. Mirereni kwanza ndo nini? Agizo lilipeanwa na nani, na kwa nini? Jamaa anadhani wakenya wana umbea wakufatafata vitu kama hivo.
Kwenye Majeshi usiingize Tz kabisa, Our troops are all over Africa, But Sehemu kuu ni Congo, South Sudan na Lebanon.
 
round hii mmekutana na mtu chuma mkikuyu akili timamu. lazima chupi ziwabane.

the guy knows kenya inside out.he even knows how to speak/write kikuyu properly.

that means you have no doubt about his citizenship. he his one hundred percent kenyan.mtajibeba[emoji23] [emoji23] [emoji23]
So in your opinion, writing and speaking in kikuyu is the epitome of a bright mind? Mbona hapa jf, hata kwa uzi huu wako huwa kuna watu wakiongea tu mnawazima kwa fujo zaidi ya viwango vya kawaida? Everyone has a right to his own opinions but remember every market has its own madman too. I respect people like you, who constantly speak their minds out, whatever the consequences, without having to open a new jf account and username!
 
Kazi ya KDF nimesema mara mingi hapa ni kutomba malaya, kuiba makaa ya somalia, kuagiza sukari bila kodi na kunywa pombe
Mwenye pingamizi ani eleze
Unaongea uongo kwasababu umetoka familia ya waoga. Nobody in your lineage has ever given their life for this great country, Kenya. Vijana wa KDF wamekuwa Somalia siku nyingi, wameacha familia zao huku Kenya. Watu hawajatia machoni nyuso za kaka zao, dada zao, baba zao, mama zao mwaka na nusu unapita sasa hivi, since the last deployment. Afu wewe hapo ulipo unatumia vifurushi vya kuazima kueneza uongo baada ya kushiba Ugali!
 
Kwenye Majeshi usiingize Tz kabisa, Our troops are all over Africa, But Sehemu kuu ni Congo, South Sudan na Lebanon.
Mwenzako ndo ametaja KDF badala ya NYS, ambao ndo huwa wanafanya kazi kama za JKT. Ikabidi nimueleze kazi wanayofanya KDF sasa hivi.
 
Mwenzako ndo ametaja KDF badala ya NYS, ambao ndo huwa wanafanya kazi kama za JKT. Ikabidi nimueleze kazi wanayofanya KDF sasa hivi.
sawa.
ni jukumu gani hao NYS wamewahi kulikamilisha mapema kabla ya muda waliopewa?.

FYI ukiondoa jwtz, JKT ni jeshi kamili, sambamba na majukumu mengine, linahusika na majukumu yote ya kijeshi kuendena na maagizo wanayopewa na wakubwa zao.

hivo basi kuifananisha kdf na jkt sio kosa.
 
So in your opinion, writing and speaking in kikuyu is the epitome of a bright mind?
... it is a proof he is your fellow citizen so you better engage him wisely because you are dealing with someone whose words about kenya are genuine regardless how negative he might sound.[emoji23] [emoji23]
 
sawa.
ni jukumu gani hao NYS wamewahi kulikamilisha mapema kabla ya muda waliopewa?.

FYI ukiondoa jwtz, JKT ni jeshi kamili, sambamba na majukumu mengine, linahusika na majukumu yote ya kijeshi kuendena na maagizo wanayopewa na wakubwa zao.

hivo basi kuifananisha kdf na jkt sio kosa.
KDF hawafanyi kazi kama hizo za JKT hizo ni kazi za NYS. Fanya karisechi kidogo kuhusu NYS, utawafahamu tu. Vifurushi unavyo, acha kujitia hamnazo!
 
Mradi mzuri wa Nyang'au kupigwa tena hehehe ,tofautisha ukuta usionafaida yyte na ukuta wakuzuia mali ni mbingu na ardhi
Umeniwah boss, wana plan ya kujenga ukuta utakaowagharim zaidi! Sisi ukuta wetu unapaisha graph ya mapato Juu
 
Back
Top Bottom