Mkuu nisaidie link tafadhali..! Bora niende Jkt nikachukue mbinu ili mwakani wakiniwekea tena not secure niwa al-shabab
hapo ujue wanafunz hamna wa kwenda ndo maana wameongeza tena.
jaman kuna mdogo
wangu kapangiwa bulombora kgm hv coz itaisha mwez wa kwanza kweli au ndo
watapigishwa kwata hadi mwez april.,ujue dogo anataka akirud hyo januar
ajiandae na pepa la 6 hapo may
jkt haina formula..wanaweza kupiga coz miezi 6..nikweli kwamba jkt wamekosa vijana wakwenda na ndiomaana wakaongeza majina ya vijana wengine ambao hawana sifa ya kwenda kujiendeleza na bachela..namaanisha kwa wale form 6 walio pata dv 4 na 0 ..jkt inaamini kwamba walio pata hizi dv zamwisho hawana pakwenda na nilazima waende jkt kumbe si sawa kuna wapo ambao washaanza chuo kwa ngazi ya dploma sijui itakuwaje kwao.pole sana mlio kutwa na hili janga
jkt haina formula..wanaweza kupiga coz miezi 6..nikweli kwamba jkt wamekosa vijana wakwenda na ndiomaana wakaongeza majina ya vijana wengine ambao hawana sifa ya kwenda kujiendeleza na bachela..namaanisha kwa wale form 6 walio pata dv 4 na 0 ..jkt inaamini kwamba walio pata hizi dv zamwisho hawana pakwenda na nilazima waende jkt kumbe si sawa kuna wapo ambao washaanza chuo kwa ngazi ya dploma sijui itakuwaje kwao.pole sana mlio kutwa na hili janga
Mkuu nisaidie link tafadhali..! Bora niende Jkt nikachukue mbinu ili mwakani wakiniwekea tena not secure niwa al-shabab
al shabab hawachukui 4m 6,wanachukua waliofeli.
hapo ujue wanafunz hamna wa kwenda ndo maana wameongeza tena.
al shabab hawachukui 4m 6,wanachukua waliofeli.
AL SHABAB huko wako madokta makomando
wenye madegree madiploma macertificate na wenye pay kwa hyo usilopoke kwa usolijua
jaman kuna mdogo wangu kapangiwa bulombora kgm hv coz itaisha mwez wa kwanza kweli au ndo watapigishwa kwata hadi mwez april.,ujue dogo anataka akirud hyo januar ajiandae na pepa la 6 hapo may