MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
TCAA ndo imetangaza badala ya ICAO... wakuu wa serikali hua wanapenda kuongeza chumvi wakati mwengine... hakuna airport inaishinda Kigali airport kwa usafi, usalama wa abiria, usalama wa ndege...etc...
Ndio nawashangaa hawa, hizi taarifa zao hazipo kwengine ila kwao.