Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Mkuu YAJUE YA KUZINGATIA, ILI UACHANE NA YASIYOKUHUSU.Kifupi huyu joan anazuia nn au ana nafasi gan had kumtenganisha martha na nwanae
Wanawake huwa hamwezi to mind your own business mnatafuta na za wenzenu. Unaweza kuta hapo hata hujaolewa ila unataka jua kwa nini Fatma ameachika kwa mumewe. Inakusaidia nini?Wambea wa Jf
Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu.
Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake.
Mlioelewa Joan n rafiki wa martha
Joan n mtoto wa martha?
Joan n mganga wa martha?
joan ni mwenza wa martha?
Joan n meneja wa martha?
Kifupi huyu joan anazuia nn au ana nafasi gan had kumtenganisha martha na nwanae
Haya majitu yana countless number of ways to expose themselves!Ndio akina nani hao?
kwanini sasaNimeona hiyo familia ni ya watu wa hovyo kuanzia mama, tuseme Martha ndiye mwenye uelewa kidogo, hao wengine ni zero brain
AmaaaHabari ya huko Los Angeles 😊maana kwenu ni Mchana . Huku wenzako wamelala.
Walokole wa mjini daresalamaNdio akina nani hao?
ina maana huwajui?Ndio akina nani hao?
ili iwejeHuko bongo land watu hawalali?