Joan ni nani kwa Martha Mwaipaja? Nini chanzo cha utata? Ni kweli au kiki?

Joan ni nani kwa Martha Mwaipaja? Nini chanzo cha utata? Ni kweli au kiki?

Wambea wa Jf
Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu.

Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake.
Mlioelewa Joan n rafiki wa martha
Joan n mtoto wa martha?
Joan n mganga wa martha?
joan ni mwenza wa martha?
Joan n meneja wa martha?

Kifupi huyu joan anazuia nn au ana nafasi gan had kumtenganisha martha na nwanae.
ACHA kufuatilia MAISHA za watu....tumia muda huo kufanya maendeleo yako binafsi.....uchawi unaanziaga hivihivi
 
Wambea wa Jf
Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu.

Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake.
Mlioelewa Joan n rafiki wa martha
Joan n mtoto wa martha?
Joan n mganga wa martha?
joan ni mwenza wa martha?
Joan n meneja wa martha?

Kifupi huyu joan anazuia nn au ana nafasi gan had kumtenganisha martha na nwanae.
Ukijua itakusaidia nini?
 
Wambea wa Jf
Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu.

Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake.
Mlioelewa Joan n rafiki wa martha
Joan n mtoto wa martha?
Joan n mganga wa martha?
joan ni mwenza wa martha?
Joan n meneja wa martha?

Kifupi huyu joan anazuia nn au ana nafasi gan had kumtenganisha martha na nwanae.
Kiki
 
Wambea wa Jf
Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu.

Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake.
Mlioelewa Joan n rafiki wa martha
Joan n mtoto wa martha?
Joan n mganga wa martha?
joan ni mwenza wa martha?
Joan n meneja wa martha?

Kifupi huyu joan anazuia nn au ana nafasi gan had kumtenganisha martha na nwanae.
Achana na waume za watu wewe
 
Joan ni adui wa Martha wa kiroho kwa sasa, SHETANI amemvaa anamtumia kumvuruga kiroho na sasa kimwili.

Martha ameshindwa kupigana vita hii kiroho sasa imehamia mwilini.

NB: Biblia inasema adui wa mtu ni mtu wa nyumbani mwake
 
Joan ni adui wa Martha wa kiroho kwa sasa, SHETANI amemvaa anamtumia kumvuruga kiroho na sasa kimwili.

Martha ameshindwa kupigana vita hii kiroho sasa imehamia mwilini.

NB: Biblia inasema adui wa mtu ni mtu wa nyumbani mwake
Aisee
 
Joan anasagana na Martha katika kumridhisha Martha Hisia zake za kingono kufuatia Martha kupigwa Marufuku kua na Mwanaume kama anahitaji kutoboa .

Huu mtandao ni mrefu, unakula mpaka Shusho , na viongozi .

Hii vita ni ngumu tata🤣
Hii ndo ya kibabe !!

Kwamba mganga wake kakataza asiwe na mwanaume?
 
Back
Top Bottom