Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Achana nao stress zinawasumbua tu hawa wazee na visukari na pressure so lazma wajibu hovyoKwa hapa wewe unaonekana mjinga kuliko mie nilieuliza swali.
Jf ina great thinkers kibao, nikategemea nitajibiwa na mmoja kati yao bahati mbaya umejibu wewe.
Moja ya faida za hii jf ni kutoana tongotongo cha ajabu kuna ujuaji usio na faida.
Kama hujui kausha si lazima kujibu au kukejeli.
Tutabanana humuhumu na nyie wazeeyeah hata mimi nimeliona hilo
Unataka tumfatilie alfa blondi ,alichoki ,pepe kale ?Hao wambie mambo ya konde gang mondi shilole udaku ndiyo wanajua
Ova
Baba yake Konde boyNdo nani huyu mkuu??
Kwakweli ni ujinga wa hali ya juu mkuu.Achana nao stress zinawasumbua tu hawa wazee na visukari na pressure so lazma wajibu hovyo
Kuzaliwa na hilo swali vina uhusiano gani mzee!!Umezaliwa lini?
Ova
😀😀😀Kumbe JF ina watoto kiasi hiki?
Joaquim Alberto Chissano ni mwanasiasa ambaye alikuwa Rais wa pili wa Msumbiji, kuanzia 1986 hadi 2005. Anasifiwa kwa kuibadilisha Msumbiji iliyokumbwa na vita kuwa mojawapo ya nchi za Afrika zenye demokrasia yenye mafanikio makubwaNdo nani huyu mkuu??
Syo kumjua tu namfahamu na nishaonana naye na tukabonga sanaKuzaliwa na hilo swali vina uhusiano gani mzee!!
Jf ina watu wa ajabu sana.
Si lazima ureply mkuu kama humjui na wewe unakausha tu, mbona simple.
Kwani si naskia Wamakonde wapo Mtwara Tanzania na Msumbiji?, Labda Chisano ni Mmakonde wa Msumbiji!Chisano ni mmakonde leo anasema hajui kiswahili?
Anawachezea akili. JENERALI Hashim Mbita angekuwepo angecheka sana.
yeah very brilliant, kwamba yako ni leo tu uliyonayo mkononi, jana yanini!?!!?, hutaki kujua habari za JK nyerere,Tanganyika, chief Mkwawa,Mirambo, sekouture, kwame Nkrumah, Jomo Kenyata, pengine hata babu na bibi yako!! very good!!, lakini nashangaa umeuliza Chisano ni nani?!!!!!?Unataka tumfatilie alfa blondi ,alichoki ,pepe kale ?
No way hao walifatiliwa na watu ambao ndio wanakaribia kufa sahivi au ku staafu
Tunaenda na trend
Ova
Ndo kama unaona huna jibu la swali kausha tu, kama kweli we ni mtu mzima unaejielewa.Syo kumjua tu namfahamu na nishaonana naye na tukabonga sana
Ova
Shukran mkuu.Joaquim Alberto Chissano ni mwanasiasa ambaye alikuwa Rais wa pili wa Msumbiji, kuanzia 1986 hadi 2005. Anasifiwa kwa kuibadilisha Msumbiji iliyokumbwa na vita kuwa mojawapo ya nchi za Afrika zenye demokrasia yenye mafanikio makubwa
Kwakweli nilimind ila ndgu mshana kanipooza jazba baada ya kutoa jibu la sivyo ndgu yangu ningekula na ww sahani moja hadi uniambie 😂😂Hahaha mzee ume mind
Basi yaishe
Ova
Du vipimbi kumbe mko wengi!Ndo nani huyu mkuu??
Kubali tu ww ni mjinga au unataka akuite mpumbavu?Kwa hapa wewe unaonekana mjinga kuliko mie nilieuliza swali.
Jf ina great thinkers kibao, nikategemea nitajibiwa na mmoja kati yao bahati mbaya umejibu wewe.
Moja ya faida za hii jf ni kutoana tongotongo cha ajabu kuna ujuaji usio na faida.
Kama hujui kausha si lazima kujibu au kukejeli.