Joaquim Chissano: Siwezi kuzungumza Kiswahili kama mnavyodhani

Joaquim Chissano: Siwezi kuzungumza Kiswahili kama mnavyodhani

We mzee vipi aisee.
Tafuta ugali wa wanao achana na hiyo comment yangu, naona unamind kabisa mi kutokumjua huyo mtu.

Nishakwambia sijaenda google na hapahapa jf nimeambia alikua nani, sasa wewe kuja kuleta ujinga wako hapa kwani una hisa huko google.
Huwa nawamind sana watu wajinga wajinga, wapumnavu ndi haswaaa!
 
Mtu akiuliza mtu fulani ni nani ni swali la kitoto??

Sio kesi ni vile wewe uonavyo lakini pamoja na utoto wake wadau wastaarabu wametoa majibu!
Google, kuliko kuendelea kuthibitisha utoto wako hapo, kwani kuwa mtoto ni vibaya??
 
Google, kuliko kuendelea kuthibitisha utoto wako hapo, kwani kuwa mtoto ni vibaya??
Tatizo lako hupendi kusoma, kama ungesoma replies huko juu usinge quate text yangu.

Ila kwakua ni mbumbumbu wa jf unaetaka kuonekana unajua mambo mengi na mwenye replies nyingi basi hayaaa.

Si ajabu ni mgeni hapa jf ama lah huingii mara nyingi ama kama unaingia basi sio msomaji wa replies za wachangiaji bali mtu wa mihemko tu unaefata mkumbo.

Google ni sehemu ya wajinga kama wewe wanaotafuta maarifa. Niulize nikuelekekze sehemu sahihi ya kusaka maarifa. Mojawapo ni hapa JF niliyouliza, ya pili na nyingine nitakujuza ukiacha kiburi na ukaniuliza.
 
Huwa nawamind sana watu wajinga wajinga, wapumnavu ndi haswaaa!
Endelea kuwamind ama lah acha nikupe sababu na suluhisho la kuwamind.

Wewe unajihisi una maarifa mengi lakini HUNA, wewe ni mbumbumbu tu ila unaejiona unajua kila kitu. Hii inakufanya mtu asipojua kitu unachokijua wewe umuone hana akili, mjinga na mpumbavu saana kwakua hajui kitu kidogo, lakini umesahahu kua hicho kitu kidogo ww ukiwa na na miaka fulani au wakati hukusoma au kuambia kitu fulani hukua unajua kama huyo unaemuona hana akili na sio mfuatiliaji.

Ndio maana watoto wadogo wadogo huwa tunawajibu vizuri kadri ya maswali yao kwakua tunaamini hawajui kitu bali wanahitaji kujifunza. Sasa basi mtu asiejua mchukulie kama mtoto mdogo asiejua kitu(japo kwa mtu mzima muelekeze kiutu uzima zaidi bila kupoteza muda wako au kuathiri shughuli zako).

Hii ni psychological zaidi kama akili yako haimudu iache tu.
 
Endelea kuwamind ama lah acha nikupe sababu na suluhisho la kuwamind.

Wewe unajihisi una maarifa mengi lakini HUNA, wewe ni mbumbumbu tu ila unaejiona unajua kila kitu. Hii inakufanya mtu asipojua kitu unachokijua wewe umuone hana akili, mjinga na mpumbavu saana kwakua hajui kitu kidogo, lakini umesahahu kua hicho kitu kidogo ww ukiwa na na miaka fulani au wakati hukusoma au kuambia kitu fulani hukua unajua kama huyo unaemuona hana akili na sio mfuatiliaji.

Ndio maana watoto wadogo wadogo huwa tunawajibu vizuri kadri ya maswali yao kwakua tunaamini hawajui kitu bali wanahitaji kujifunza. Sasa basi mtu asiejua mchukulie kama mtoto mdogo asiejua kitu(japo kwa mtu mzima muelekeze kiutu uzima zaidi bila kupoteza muda wako au kuathiri shughuli zako).

Hii ni psychological zaidi kama akili yako haimudu iache tu.
Mkuu mimi zuzu la mazuzu.
Nakutawanya kwa kwenda mbele.
Pambaf.
 
Tanzania
Zanzibar
Oman

Bado sijaona mataifa yanayoongea kiswahili hapa duniani kama (TZO) Huu utatu wanaongea kiswahili kizuri sana.

MK254 mnakwama wapi na kiswahili chenu!!
 
Tanzania
Zanzibar
Oman

Bado sijaona mataifa yanayoongea kiswahili hapa duniani kama (TZO) Huu utatu wanaongea kiswahili kizuri sana.

MK254 mnakwama wapi na kiswahili chenu!!

Sisi hatujakwama, ni vile hatukubali kuganda kwenye lugha moja kama kwenu huko, tunaongea lugha zetu za asili, na pia lugha rasmi Kiswahili na Kingereza.
 
Chisano ni mmakonde leo anasema hajui kiswahili?

Anawachezea akili. JENERALI Hashim Mbita angekuwepo angecheka sana.
Umechanganya habari,hapa anazungumziwa Joaquim chissano sio Filipe Nyusi,Chissano ni Mmachangani sio Mmakonde.
 
Hivi siku hizi Somo la historia shule za Msingi hawafundishi kuhsu historia za wapigania uhuru na waliokuwa Marais wa Nchi za Afrika kina Kwame Nkrumah, Nnand Azikiwe,Ahmed Sekou Toure,Patrice Emely Lumumba, Edwardo Modlane,Samora Machel,Kenneth Kaunda,Kamuzu Banda, Joaquim Chisano,Augustino Netto,Felx Houphet, Leopard Sedar, Joseph Kasavubu, Joseph Desire Mobutu Sese seko Kuku Ngbendu wa Zabanga..........?
 
Hivi siku hizi Somo la historia shule za Msingi hawafundishi kuhsu historia za wapigania uhuru na waliokuwa Marais wa Nchi za Afrika kina Kwame Nkrumah, Nnand Azikiwe,Ahmed Sekou Toure,Patrice Emely Lumumba, Edwardo Modlane,Samora Machel,Kenneth Kaunda,Kamuzu Banda, Joaquim Chisano,Augustino Netto,Felx Houphet, Leopard Sedar, Joseph Kasavubu, Joseph Desire Mobutu Sese seko Kuku Ngbendu wa Zabanga..........?
Watoto mashuleni siku hizi we wambie mondy konde,nandy,baba levo, mwijku, singeli,amapiano
Kukatika mauno basi

Ova
 
Back
Top Bottom