Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko

Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko

Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko.

Nilichogundua kwenye ile hotuba ni kwamba Ndugai alikua amejiandaa kwamba liwalo na liwe.

Alikua ameamua kutoa yake ya moyoni.

Amezungumza ukweli, na umemweka huru.
Sasa,kama hi yo ndivyo,ile sauti ya upole,wakati akikanusha yale,aliitoa wapi?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nami nimeisikiliza sasa...
Kaongea kwa hisia na akimaanisha kabisa... alipokosea ninkuomba msamaha ingawa majua ni 'kaomba' kinafiki...
Niliwahi kuambiwa nchini Ufaransa hakuna kuombana msamaha! Labda walistukia madhara haya ....ha ha ha haaa!
 
Ndungai alitumika kama ile tissue laini ya chooni baadae wameFlush.Cha kufanya asubiri mvua mwakani akalime mahindi kibaigwa 😂
 
Ndo yule aliyepita bila kupingwa?
hivi ndugai wa kipindi Cha magufuli ndo huyu huyu au wapo wawili.?
Nani alijua ndugai na pole pole ipo siku watakuja kuonja joto la jiwe?
haya ni maisha tuishi kwa kupendana Kuna Leo na kesho.
Mchuma janga ula na wakwao.
Bora Hilo sanamu tumjengee akwilina
 
Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko.

Nilichogundua kwenye ile hotuba ni kwamba Ndugai alikua amejiandaa kwamba liwalo na liwe.

Alikua ameamua kutoa yake ya moyoni.

Amezungumza ukweli, na umemweka huru.

Shujaa gani analia Kama mtoto. Nimekosa mimi nimekosa Sana?. Shujaa ni yule aliyebomolewa jumba lake, kufungiwa akaunti yake, kuharibiwa shamba lake, kufungiwa gazeti lake na kufunguliwa kesi ya ugaidi na bado hajayumbishwa msimamo wake. Shujaa ni yule aliyelimwa risasi kwa sababu ya msimamo wake. Sio huyu kutishiwa kidogo tu kaenda kupinga magoti.
 
Back
Top Bottom