mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Zama zimebadilika.
Rais wa Tanzania ni Samia suluhu hassan
Mtake ndo hivyo msitake ndo hivyo.
Umelalaaa yooo
Rais wa Tanzania ni Samia suluhu hassan
Mtake ndo hivyo msitake ndo hivyo.
Umelalaaa yooo
Nilikua sijasikiliza hotuba ya ndugai sasa nimeisikiliza... hiyu mi mwamba!
Ningefurahi kama angejiuzulu tu bila kuomba samahani maana hajakosea kitu...
Ndugai akielezea mkopo