Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko

Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko

Kosa la ndugai ni moja kuomba msamaha. Litamtafuna hadi kesho. Kwingine yuko sawa
 
Mahakama inasema mgonjwa wa akili hana makosa - Sasa Raisi itakuwa hajui kama jamaa inasemekana ana matatizo ya akili.
 
Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko.

Nilichogundua kwenye ile hotuba ni kwamba Ndugai alikua amejiandaa kwamba liwalo na liwe.

Alikua ameamua kutoa yake ya moyoni.

Amezungumza ukweli, na umemweka huru.
✔️✔️
 
Mshahara wa dhambi ni mauti, huyu mtu ameumiza wengi! amejeruhi wengi sana! amedhalilisha wengi!
Dhambi zile za kunyanyapaa na kutesa wenzake zitamtafuna hadi ngozi!
 
Jobo kachagua option nzuri sana Mama itabidi apinge vikali Jobo abakie kwenye kiti.
 
Sukuma GANG hawaamini Kama magufuli amefariki.
Hawampendi Samia huo ndo ukweli.
VITA VYA PANZI.
Hao wote ni shati la kijani kinachotokea ni mgongano wa kimaslahi sio Kama NDUGAI Ana uchungu Sana na nchi hii ndo maana watu waliouliwa kipindi Cha magufuli alikaa kimya
Hapa tunazungumzia Ndugai kwanini unaingizia Rais, Rais ni wetu sote.
 
Sema Sijapenda kabisa hata kama una jiuzulu ndo uandike barua ya kujiuzulu kwa herufi zote kubwa?
 
Yeye Nani katika nchi hii?
Katoka magufuli sembuse yeye?
Katoka samweli sita itakuwa yeye?
Hata Samia pia atatoka na maisha yataendelea Kama kawaida.
Ila kwa Sasa ni" FURAHA DAY"
malipo ni hapa hapa duniani akhera kuhesabiwa.
Huyo Hana uchungu wowote na hii nchi
Madhara ya Job kutoka ni makubwa sana jifunze kutazama mbele.
 
Mi nilicho ona ni kwamba raisi kapiga kwenye mshono kujiuzulu ni maamuzi binafsi
 
Yeye Nani katika nchi hii?
Katoka magufuli sembuse yeye?
Katoka samweli sita itakuwa yeye?
Hata Samia pia atatoka na maisha yataendelea Kama kawaida.
Ila kwa Sasa ni" FURAHA DAY"
malipo ni hapa hapa duniani akhera kuhesabiwa.
Huyo Hana uchungu wowote na hii nchi
Ulishawahi kuandikiwa barua kwa herufi kubwa😂
 
Back
Top Bottom