Hii ni aibu kubwa kwa taifa letu
Chuki zako kwa Ndugai ni sababu tu aliwashughukikia Chadema?Unaweza ukawa uko sahihi kwenye bandiko lako namba moja, lakini bandiko lote limegeuka ni uchuro tu baada ya kumtaja Ndugai. Huyo Ndugai ni baadhi ya watu waliosimamia siasa za kihayawani sana hapa nchini kipindi cha awamu ya dhalimu, hivyo chochote asemacho sasa tunampuuza bila kujali ukweli wake.
Unaweza ukawa uko sahihi kwenye bandiko lako namba moja, lakini bandiko lote limegeuka ni uchuro tu baada ya kumtaja Ndugai. Huyo Ndugai ni baadhi ya watu waliosimamia siasa za kihayawani sana hapa nchini kipindi cha awamu ya dhalimu, hivyo chochote asemacho sasa tunampuuza bila kujali ukweli wake.
Hatari sanaNgorongoro imeshauzwa kwa muarabu kilichobakia ni mauaji ya raia ili akabidhiwe eneo.
Sukuma gang kaziniMwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.
Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.
Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.
Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.
Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
Unaona ni bora kugawana mbao na fito? Nyumba si itadondoka? Tushikamane umoja ni nguvu, akifanyiwa jirani yako ubaya usikae kimya ipo siku watakufanyia nawe hivyo.Kila mmoja apambane na Hali yake , hata nchi ikivunjika vipande vipande fresh tuu , tunadharauliana Sana , kila kabila lijinasue kivyake....!!
Naye huyo si walewale tuu, hivi Ndugai ana usafi gani wa kuweza kuwanyooshea wengine vidole?Mwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.
Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.
Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.
Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.
Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
🤣🤣🤣Lala acha ubishi kazi kuwanga tu hata mkijadili usiku wa manane hamuwezi badili kitu!
Aiseee!Naye huyo si walewale tuu, hivi Ndugai ana usafi gani wa kuweza kuwanyooshea wengine vidole?
Kumbuka huyu ndio anashikilia rekodi ya kuwa mgonjwa ghali zaidi duniani kwa kutumia pesa za walipa kodi maskini kiasi cha BILION 26 NA USHEE
Hii ni aibu kubwa kwa taifa letu
Raia wanakutuhumu kuwa umewauzia Waarabu mbuga yao, lakini wapambe wako wanakusaidia kukanusha kibishi. Wewe ghafla unapanga ziara kuwatembelea watuhumiwa?Ngorongoro imeshauzwa kwa muarabu kilichobakia ni mauaji ya raia ili akabidhiwe eneo.
Tunaanza na kumpiga mnada jobo mwenyewe..Mwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.
Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.
Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.
Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.
Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
Huyu alishanusa kitu maana wao wanajua mengi huko. Inawezekana huko mbele kuna mabaya mengi yanakuja ndio maana aliamua kujilipua asiwe sehemu ya huo ujinga.Mwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.
Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.
Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.
Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.
Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
Kweli kabisaKiongozi wa kisiasa akiona nafasi yake ipo hatarini ndio akili inafanya kazi,
kabla ya hapo huyo jobu hakuwa anaongea hivyo vitu zaidi ya kuweka akili yote kuwakomoa wapinzani, nafasi ilipomponyoka ndio akili zikaanza kumrudi.
Kwann kila mtu asipewe chake tukajua kama tunaenda zimbabwe au lahMwanasiasa anayetanguliza tumbo lake kuliko maslahi ya raia wanyonge ambao hawajui juu wa mustakabali wa kesho yao ni mwanasiasa mbaya sana.
Anatumia mwanya wa nguvu ya kisiasa aliyonayo kuburuta watu ili afanikishe mambo yake kwa nguvu.
Mikopo inayofanyika ina siri kubwa na hatujui ipo vipi kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla.
Huko Ngorongoro ndio kuna utata mkubwa. Tunaambiwa na wajuaji kuwa waarabu wameshanunua wanyama na maeneo kwa manufaa yao na wanasiasa waliopo madarakani.
Mnapigwa mnada huku mnaona kwa macho yenu.
Tena kwa mualiko. Yaani jamaa wametuzidi nguvu wenye nchi.Raia wanakutuhumu kuwa umewauzia Waarabu mbuga yao, lakini wapambe wako wanakusaidia kukanusha kibishi. Wewe ghafla unapanga ziara kuwatembelea watuhumiwa?