Job Ndugai aliposema ipo siku mtapigwa mnada mlijifanya hamuelewi na mkafurahi alipofanyiwa fitina. Sasa mnapigwa mnada huku mnaona

Hii ni aibu kubwa kwa taifa letu

Unaweza ukawa uko sahihi kwenye bandiko lako namba moja, lakini bandiko lote limegeuka ni uchuro tu baada ya kumtaja Ndugai. Huyo Ndugai ni baadhi ya watu waliosimamia siasa za kihayawani sana hapa nchini kipindi cha awamu ya dhalimu, hivyo chochote asemacho sasa tunampuuza bila kujali ukweli wake.
 
Kila mmoja apambane na Hali yake , hata nchi ikivunjika vipande vipande fresh tuu , tunadharauliana Sana , kila kabila lijinasue kivyake....!!
 
Chuki zako kwa Ndugai ni sababu tu aliwashughukikia Chadema?
 

Afadhali huyo kuliko anayeuza rasilimali za Nchi
 
Sukuma gang kazini
 
Kila mmoja apambane na Hali yake , hata nchi ikivunjika vipande vipande fresh tuu , tunadharauliana Sana , kila kabila lijinasue kivyake....!!
Unaona ni bora kugawana mbao na fito? Nyumba si itadondoka? Tushikamane umoja ni nguvu, akifanyiwa jirani yako ubaya usikae kimya ipo siku watakufanyia nawe hivyo.
 
Naye huyo si walewale tuu, hivi Ndugai ana usafi gani wa kuweza kuwanyooshea wengine vidole?
Kumbuka huyu ndio anashikilia rekodi ya kuwa mgonjwa ghali zaidi duniani kwa kutumia pesa za walipa kodi maskini kiasi cha BILION 26 NA USHEE
 
Naye huyo si walewale tuu, hivi Ndugai ana usafi gani wa kuweza kuwanyooshea wengine vidole?
Kumbuka huyu ndio anashikilia rekodi ya kuwa mgonjwa ghali zaidi duniani kwa kutumia pesa za walipa kodi maskini kiasi cha BILION 26 NA USHEE
Aiseee!
 
Ngorongoro imeshauzwa kwa muarabu kilichobakia ni mauaji ya raia ili akabidhiwe eneo.
Raia wanakutuhumu kuwa umewauzia Waarabu mbuga yao, lakini wapambe wako wanakusaidia kukanusha kibishi. Wewe ghafla unapanga ziara kuwatembelea watuhumiwa?
 
Tunaanza na kumpiga mnada jobo mwenyewe..

Nipeni bei ya jobo !
 
Huyu alishanusa kitu maana wao wanajua mengi huko. Inawezekana huko mbele kuna mabaya mengi yanakuja ndio maana aliamua kujilipua asiwe sehemu ya huo ujinga.

Hawa watu ambao Magu alifanya nao kazi amefanikiwa kwa kiasi fulani kuwapandikiza roho ya uzalendo hasa linapokuja suala la maslahi ya nchi. Magu aliona ni bora ufanye kazi na wapinzani wenye roho ya uzalendo kuliko kufanya kazi na ccm wasio wazalendo.
Ndio maana alifanikiwa kuwachota wapinzani na kuwapa nafasi ili wamsaidie kuitumikia nchi ilihali akiwapiga chini ccm maslahi.

Huyu mama pamoja na kufanya kazi na Magu na kusema Magu alikuwa na shida ni wazi yeye ndio alikuwa na shida. Na Magu aliijua vizuri akili yake na uwezo wake ndio maana mambo ya msingi yanayohusu maslahi ya nchi aliwapa kina lukuvi, majaliwa na kabudi.

Na ndio maana kwenye mkutano Magu alisema yeye alipendezwa zaidi na hussein mwinyi, huyu kilichombeba ni jinsia tu. Maana yake alitaka isiwe lawama hasa kwa UWT. Ila inaonekana si mtu aliyemkubali na leo tunajionea wenyewe.
 
Kiongozi wa kisiasa akiona nafasi yake ipo hatarini ndio akili inafanya kazi,

kabla ya hapo huyo jobu hakuwa anaongea hivyo vitu zaidi ya kuweka akili yote kuwakomoa wapinzani, nafasi ilipomponyoka ndio akili zikaanza kumrudi.
Kweli kabisa
 
Kwann kila mtu asipewe chake tukajua kama tunaenda zimbabwe au lah
 
Raia wanakutuhumu kuwa umewauzia Waarabu mbuga yao, lakini wapambe wako wanakusaidia kukanusha kibishi. Wewe ghafla unapanga ziara kuwatembelea watuhumiwa?
Tena kwa mualiko. Yaani jamaa wametuzidi nguvu wenye nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…