Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ameingiaje.?Kashapoteza nuru kweli lissu alikuwa mpango wa Mungu.
Kwa mbeleLissu ameingiaje.?
Sasa ndio atafanya kazi za ubunge kwa mawanda mapana.....Aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa
Hongera kwake kwa kutulia
USSR View attachment 2184385
Tulimiss joboHatimaye mmempata na kumuona!.
Kosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.Rais Samia kamfanyia mbaya sana huyu mzee wa mnada.pamoja na kumuomba msamaha lakini akamkanyagia.
Ameharibu sifa ya mwanaume halisiKosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
Tukio la kupangwa hilo baada ya kuuliziwa bungeni. Katolewa kaonekana kisha karudishwa kizuizini..[emoji23]Aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa
Hongera kwake kwa kutulia
USSR View attachment 2184385
Naamini anajutia sanaKosa kubwa la ndugai ni kuomba msamaha.
Kapoa utadhani sio yeyeAliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa
Hongera kwake kwa kutulia
USSR View attachment 2184385
Ni kama lile la Kigamboni beloved son aliambiwa baba yako amesema ukawe muwakilishi wa wale kule ng'ambo, kijana alivyovuka maji tu kikaelewekaTukio la kupangwa hilo baada ya kuuliziwa bungeni. Katolewa kaonekana kisha karufishwa kizuizini..[emoji23]
Ili asisambaze sumuTukio la kimkakati, baada ya hapo anarudishwa kabatini.