Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
-Speaker Aliyejiuzuru,alitumia maneno ya uchochezi na kuudhi tena hadharani, kukosoa Serikali inayoongozwa na Chama chake cha Mapinduzi.
-Maneno yenye kutaka kuleta taharuki kwa wananchi.
-Chama chake kilipaswa kunchukulia hatua za kinidhamu au kumpa karipio,iwe fundisho kwa viongozi wengine.
-Maneno yenye kutaka kuleta taharuki kwa wananchi.
-Chama chake kilipaswa kunchukulia hatua za kinidhamu au kumpa karipio,iwe fundisho kwa viongozi wengine.