Job Ndugai huyu hapa, yuko bize jimboni kusaidia wapiga kura

Job Ndugai huyu hapa, yuko bize jimboni kusaidia wapiga kura

Rais Samia kamfanyia mbaya sana huyu mzee wa mnada.pamoja na kumuomba msamaha lakini akamkanyagia.
Kosa lake ni kusema ukweli.

Baada ya awamu hii kupita tutahitaji maridhiano ya kitaifa kutokana na namna watu walivyoumizwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa viongozi wa sasa.

Machinga ni moja wapo ya kundi kubwa linalopata mateso makubwa toka utawala wa awamu hii.
 
Pamoja na kumtwisha masasi yote Yale akili Ina charge,vipi ingekuwa akili ugali kama mwenzetu na sie,usingekuwa unazingumzia afya ya akili,ila ingekuwa unatembelea jalala Moja baada ya jingine🤭
Endelea kumwabudu Lisu! He is stupid forever! Ndo maana huwa anajiona yuko sawa kama alivyo mlevi Jenerali Ulimwengu! Watu wapumbavu wasio na shukrani!
 
Aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa

Hongera kwake kwa kutulia

USSR View attachment 2184385
Spika ana taarifa? Jobo haonekani Bungeni wala Jimboni,huyu si ni mtoro? Kanuni za Bunge zinasemaje?

Anatakiwa kuvuliwa ubunge Ili Jimbo liwe wazi na aendelee na maisha ya ustaafu.
 
Kuna wale team ROHO MBAYA kazi yao kuombea wenzenu mabaya USIKU na MCHANA.

Najua bado mnateseka na Kumuona Bilionea Ndugai akiwa hai.

Nendeni mkapambanie lishe za familia zenu.

Au mkamsaidie Mwenyekiti kukusanya Pesa mtaani ili aendelee na Maisha.
 
Back
Top Bottom