Job Ndugai huyu hapa, yuko bize jimboni kusaidia wapiga kura

Aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania Job Yustino Ndugai akishiriki uzunduzi wa chanjo ya mifungo jimboni kongwa

Hongera kwake kwa kutulia

USSR View attachment 2184385
Sasa ndio atafanya kazi za ubunge kwa mawanda mapana.....

Inapotokea shari kwa mtu binafsi huwenda ikawa heri kwa walioko nyuma yake....

MADARAKA HUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU

#Siempre JMT🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…