chugamaica
JF-Expert Member
- Dec 17, 2018
- 218
- 128
Taarifa gani wewe unahitaji zaidi labda? Inamaana wewe hujui lisu kashambuliwa kwa risasi? Tena akiwa anatokea bungeni?Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
Sawa Steve NyerereNa kwa taarifa yako kutembelea magongo itakuwa ndo maisha yake either moja au yote mawili...tayar kashakuwa mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lakini hiyo haifanyi aendelee kupata mshahara bila kufanya kazi.Hatakufa bila hizo change zenu.
Bwege sana huyo......mmeshindwa kummaliza kwa risasi 32!Mkamnyima matibabu mkadhani atakufa.... sasa mnamnyima mshahara....mnapoteza muda. Tutamchangia mshahara na ataendelea kuwatesa mpaka mnyooke.speaker anabwabwaja sana, ni kama anajaribu kumtisha....na wasichojua ni kwamba wanavyozidi kumtisha TL na yeye ndio anavyozidi kupata nguvu ya kuendelea.
go go TL
Ndugai alipokuwa huko India hakuanza kuzurula kwenye vyombo vya habari. Ni mazingira mawili tofauti unayoongelea.Hivi huyu Matonya Ndugai alipolazwa INDIA miezi 6 mshahara wake ulisimamishwa kwa vile hakuwa jimboni?
Nduagi ni sawa na Intarahamwe ambao kazi yao ni kuchokora na kuchonganisha watu ili waanze kuuana. Huyu Spika hana tofauti na wale waganga wa kienyezi wanaopiga RAMLI CHONGANISHI...ili watu wachinjane kwa chuki za kurogana!!!Spika huyu ni BOMU haijawahi tokea tangu Tanzania ipate Uhuru. Mungu atunusuru na janga hili.
Hivi Chakubanga hajasema kama mtangazaji wa Voa nae ni mwanachama mwenzao kama yule wa hardtalk
Bana matako unatoa harufu mbaya... malimbukeni wenye shahada nyieKwa kuwa shambulio hilo mnataka lionekane ni la kisiasa na Lissu analitumia kuzunguka nchi za madmgharibi kujijenga kisiasa, hivyo hivyo matokeo ya uchunguzi yatawazika wengu kisiasa, ikiwa ni pamoja na Lissu mwenyewe.
SIASA ZA MAJITAKA zitaisha muda si mrefu na wengi watabaki midomo wazi.
Mwenye masikio haambiwi sikia wala mwenye macho haambiwi tazama. Yetu masikio na macho, nyie wenye midomo endeleeni kubwabwaja na kuvuvuzela kila kona ya nchi, mitandaoni, vyombo vya habari na nje ya mipaka ya nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaongelea uhalisia hapo bi mkubwa....kwa risasi alizopigwa hawez kuwa sawa km zaman.
Punguza mahaba
Sent using Jamii Forums mobile app
lissu alishatoa malalamiko anafwatiliwa mlichukua jukumu gani? Bashte alikua anafanya nini dodoma sikuzile?
Rahisiha sema kwa risasi tulizompiga nyooo
ndo alete sasa.Kwani aliwahi kuwa na ripoti yoyote ya daktari wa Lisu?!.......... Mnara wa babeli
Atakapopata huruma ya dunia ndio itakuwa mbaya zaidi!Yaani wao watafanya kama kumkomoa lkn mwisho wa siku ndo ataendelea kuvuruga na inavyoonekana lissu kwa sasa ni.mapema sana kurudi nchini labda magu atoke madarakan
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hauna jinsi unaweza kuwashauri? Inaonekana wamefikia mwisho wao wa kufikiriKama kweli mshahara wa Tundu Lisu utazuiliwa baada ya mbunge huyo kumaliza tu mahojiano luningani yaliyomshirikisha pia mwakilishi wa Rais balozi Masilingi, basi bungeni labda kuna mambo hayako sawa.
Siamini kama Katibu wa bunge anaona huu ni wakati muafaka wa kusimamisha mshahara wa Lisu kwa sababu hii inampa uwanja mkubwa Tundu kwa kumuongezea vitu vipya vya kuongea.
Lakini sioni sababu za msingi za kuutangazia umma pale mshahara wa mnunge au mtumishi unaposimamishwa kwa sababu yoyote ile.
Zitto aliwahi kufukuzwa bungeni wakati wa Buzwagi na ndio akazidi kuwa maarufu.
Tusifanye maamuzi kwa jazba na kisiasa
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu Lumumba wamekufanya nn? Au nawe umesimamishiwa malipo...Kwani aliwahi kuwa na ripoti yoyote ya daktari wa Lisu?!.......... Mnara wa babeli