Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Anachafuaje nchi iliyokwisha kuchafuliwa na serikali iliyoko madarakani? Anyway, hata katika hili la mshahara sheria itachukua mkondo wake!Mpaka Muda huu ilitakiwa Katibu Mkuu wa Bunge ajiuzulu Kama aliendelea kumlipa Mtu Mshahara wakati hayupo eneo la Kazi Na Hakuna taarifa yoyote ya kimaandishi ya kutokuwepo kazini Na Sasa hivi anaonekana anazurura Kwenye Channel Za Kimataifa anachafua Nchi
Hao hao Bavicha ni wananchi wa nchi hii, hizo milioni 10+ mbona pesa ndogo sana hao bavicha tukichanga 1000 tu kila mwezi anapata pesa ndefu sana kuliko hata hiyo ya ubunge
Hao hao Bavicha ni wananchi wa nchi hii, hizo milioni 10+ mbona pesa ndogo sana hao bavicha tukichanga 1000 tu kila mwezi anapata pesa ndefu sana kuliko hata hiyo ya ubunge
Lissu kwasasa hana cha kupoteza, Mshahara kwake si kitu....
Yeye Ndugai kama Spika anapaswa kujua hali ya Lissu bila hata Lissu kumtaarifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawamjui Lissu vizuri. Wanafikiri anatafuta faida ya kifedha kama wao.Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari
Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?
-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?
-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?
Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya
=====================
Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.
#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Kwani gharama za matibu ya mh Lissu mlichanga nyie uvccm?Mlishindwa yale maandamano ya dada yenu mtaweza michango, labda ya kweny keyboards
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitibiwaje?dawa ni kuhakikisha hakuna hata shilingi mia inayoingia kwenye account tuone ataishije
Lisu aliulizwa katika marisasi yote hayo kwanini hakuna hata moja immempata kwa bahati mbaya dereva wake akabakia kutuzuga tu.