Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni


Nilishawai kusema mama simuelewi kabisa!! Na bado anaonekana ni mwenye kujikweza lazima atafakari kwann spika aseme ivyo!!!!! Ukishaona wanaongea hadi tunasikia huku nje ujue moshi umeshaonekana unapofuka..... mama akae vizuri na hawa Akina January na mwigulu watamponza
 
Magufuli alipunguza hadi mshahara wake aki-reflect Nyerere Model. Tupunguze mishahara ya wabunge.
 
Basi tutumie mfuko wa jimbo kulipia deni la taifa. JMT ina majimbo ya uchaguzi 239 X 1,000,000,000/ @ = Tzs. 239,000,000,000/-

Mfuko wa jimbo wa Mbunge unaweza kulipa deni la taifa ili majimbo yabaki na bajeti kuu ya kawaida.
70 tr lakini bado miradi ya kimkakati inasuasua tu.
 
Ndugai anaanza unafki!??
Ndugai alitakiwa kusema hivi:

Kwa kuwa tozo za miamala na amana zililenga miradi ya shule, maji na afya na tayari Breton woods wametoa ela za Uviko kujengea miradi hiyo ya shule, maji na afya sasa basi tuambiwe tozo zinaenda wapi? Kwa sababu miradi mingine yote tayari ina fadhili za nje na bajeti za ndani. CAG atumulikie tozo zimehawilishwa kwenda wapi? Na je, uhawilishaji (reallocation) umefuata taratibu na sheria?

Isijekuwa tozo zimelenga kinyang'anyiro 2025.
 
mama kamjibu vikali, ngoja tusubir Ndu atajibu nini
 
Ukweli mchungu anauzungumza bwana huyu ilaaaa, ninapata mashaka makubwa! Ni moja kati ya waliokuwa wanaupigia chapuo mradi wa Bandari ya Bagamoyo, alivyopelekwa India alitumia Billions of money kumtibia kende zake ila leo anaihurumia nchi kuelemewa na madeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…